Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Itabidi nifungue kaduka ka perfume dar kwa style hii,SA kuna jamaa wanaitwa Arthur Ford wanatengeneza copy za perfumer original kali balaa. Kwanza nijikusanye ntaleta mrejesho hapa,, .
 
Mimi natumia Marquis bei inategemea inaanzia 35000 na kuend
1577814735576.jpeg
elea
1577814735576.jpeg
 
Mi stock changu kinaishia hivyo. Sijui kama. Wale jamaa wanarudi February kama walivyosema

God save us
 
Back
Top Bottom