Hapo kwenye 1million na axe tumewenda sawa1 Million Paco Rabbane ndio unyunyu wangu.. spray ni AXE Africa na 212 Tom Ford Orchird
140,000/- for 50ML.Bei gani hii mzee
Baada ya kutumia siku 5.Sikatai imenipa compliment nyingi tu...Umeushindwa nini?
Wekeni na bei zake......
Udv inanukia vzri akipka mtu mwingine Ila wew ukijinusa ile flavour hupti vzrUpo right mkuu udv ina harufu kali ila ikishapoa inakua nzuri sana.