Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

7e2a58bfd0b7350764124bfacc315353.jpg

d8b7a18f0de4cae44ede7c820274f71d.jpg

9f960efbfb54c454528d9831bdf9ce43.jpg

Hiki perfume inaitwaje nimetafuta sehemu nyingi bila mafanikio
Naweza kuipata maduka yepi?
 
c38dc36f3bc1595cc17b7bbd057a75bc.jpg
wakuu anaejua wap naweza pata hii kitu anisaidie,imeisha na nmeitafta saaana dsm hii nmeikosa
 
Umeushindwa nini?
Baada ya kutumia siku 5.Sikatai imenipa compliment nyingi tu...
Tatizo harufu yake kwangu ni kama ya kiarabu flani hiviii.Pili naona kama inanikera mana haitoki kwenye nguo mpaka uifue ndo ipungue.tatu chumba changu hadi koridon ni harufu.Nne ni kama zile karaha za UDV kila utakapokatiza ni harufu yako tu...Kwa mimi No Thanks
 
Back
Top Bottom