mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,731
Inshot hayo ma eau de toilette ndo yale ukipuliza chumbani ukitoka sebuleni yameisha harufu unaiacha ndani but eau de perfume ukipuliza kwenye nguo hata mwezi unaikuta inanukia tuNilitaka niulize hilo hilo ,naomba nielezee tofauti ya hizo mbili tafadhali sana