kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
Blue for man
Ni nzuri nilipewa kama zawadi hapa Bongo nimezitafuta bila mafanikio!Rumba??? Umetisha..
Ha ha ha ha daaah so funnyUdi tu unatosha...
Inabidi Ufungue duka la perfume used, itakulipa angalauSiwezi kujua, kila mwezi nanunua mpya na kusahau zote za zamani.
Katika maisha yangu yote sijawahi kuuza kitu nilichonunua na sina mpango wa kuanza sasa.Inabidi Ufungue duka la perfume used, itakulipa angalau
Nimeipenda hiyo Falsafa yako asee,,Katika maisha yangu yote sijawahi kuuza kitu nilichonunua na sina mpango wa kuanza sasa.
Huo ni uchuuzi.Mimi kituo changu katika maisha si uchuuzi.
Kama kuuza nina vitu vya thamani zaidi lakini sitaki kuviuza.
Kitu kikishapata kuwa cha Kiranga thamani yake inapanda juu sana kiasi hata nikitaka kuuza hakuna atakayeelewa na kumudu kununua.
Yani nikitaka kuuza hata mafuta aliyojipaka Yesu hayatafikia bei hiyo.
Nilivyokuja Bongo mara ya mwisho ilikuwa kama Christmas in July.Nimeipenda hiyo Falsafa yako asee,,
manake inafikia kipindi lazima ujikubali na kujipa thamani cuz usipofanya ivyo hakuna atakayefanya kwaajili yako..
Man basi unaweza toa kama zawadi kwa washkaji tu
Aisee hiyo imekaa fresh kinoma mshkaji wangu,Nilivyokuja Bongo mara ya mwisho ilikuwa kama Christmas in July.
Nimefika airport nawaambia jamaa haya mabegi yote ni zawadi wakawa hawaamini, wakaona nafanya biashara.
Kinadada walijizolea sana handbags na na perfume, kinakaka saa cologne na nguo.
Vitu vyote vipya, sipeleki zawadi iliyotumika. Ingawa kuna watu walinibana nguo na vitu vingine nikawaachia lakini hiyo ni kwa sababu walitaka wenyewe.
Ni falsafa ya maisha tu.
Siwezi kutupa.Aisee hiyo imekaa fresh kinoma mshkaji wangu,
Kweli kila kitu ni mipangilio tu,
Lakini sikushauri uvitupe ulivyovitumia,
waswahili wanasema Ganda la Mua la jana Chungu kaona kivuno,
Mzee ulizia inapopatikana usiulizie bei watoto wa mjini watakukimbiamkuu inapatikana duka gani na tsh ngapi?
Watoto wa mjini hujua bei kabla ya kwenda kichwa kichwa otherwise uwe wa mkoaniMzee ulizia inapopatikana usiulizie bei watoto wa mjini watakukimbia