msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 764
- 378
......Nimetumia Tafsida, Niliwahi Kuwasikiana na Dem Fb, tukahamia Whatsap,mpka mwisho tukapanga Appointment Tuonane maeneo Kwa Ajili ya Show Ya Kibabe,.....
Kweli Akafika na Alikuwa vile vile kama nilivyokuwa namuona katika mitandao...Tukazama Maeneo dah, mtoto wa Tanga, Akawa Anang'ang'ania Taa Zizimwe, Nikam mkomalia mpaka Ikashindikana ,ile Kuvua Tu, Dah Yaani Duuuuh
Mwanamke kama Chui, Madoa madoa Kama Serengeti Lager, dah Jamaa Akanywea Kabisa, na Nikashindw Kabisa Kufanya Lolote.
Nikampa Nauli Arudi Kwao Mbagala.
Dah Nilikoma Na Nilijuta Sana.
#WEWE TUKIO GANI WAKUMBUKA?
Kweli Akafika na Alikuwa vile vile kama nilivyokuwa namuona katika mitandao...Tukazama Maeneo dah, mtoto wa Tanga, Akawa Anang'ang'ania Taa Zizimwe, Nikam mkomalia mpaka Ikashindikana ,ile Kuvua Tu, Dah Yaani Duuuuh
Mwanamke kama Chui, Madoa madoa Kama Serengeti Lager, dah Jamaa Akanywea Kabisa, na Nikashindw Kabisa Kufanya Lolote.
Nikampa Nauli Arudi Kwao Mbagala.
Dah Nilikoma Na Nilijuta Sana.
#WEWE TUKIO GANI WAKUMBUKA?