Tujuane wale ambao wake zetu ni watumishi na tubadilishene mawazo juu ya changamoto na jinsi ya unavyokabiliana nazo

Naona kichwa cha uzi huu kimejieleza vizuri.

Kwa kuanza, mke wangu mimi ni mwalimu wa Sekondari, anafundisha shule fulani Manispaa ya Temeke. Changamoto zinazonikabili mara nyingi ni Wife kuamka mapema sana na kuwahi kazini hasa siku ambazo anakuwa Mwalimu wa zamu.

Pia, kwa kipindi hiki kunakuwa na semina nyingi sana zinazizotolewa na viongozi wa elimu hasa Maafisa Elimu Manispaa, Afisa elimu Kata nk kuhusiana na jinsi gani wanaweza kuongeza ufaulu wa Watoto.

Hapa husababisa Wife kuchelewa sana kurudi nyumbani. Na mwisho kipindi cha mwisho wa Mwaka huwa anachaguliwa kufanya kazi ya kusahihisha mitihani ya Kidato cha Nne, kinachotokea hapa ni kwamba wakati yupo kule marufuku kuwa na simu mkononi. Kwa hiyo hakuna mawasiliano yoyote naye kwa kipindi chote anapokuwa kwenye hiyo kazi kwa mwezi mzima. Baba ndo unakuwa mama huku nyumbani.

Jinsi gani nakabiliana na changamoto hizi ni kumwamini, hii ndo nguzo kubwa katika Ndoa yetu. Naamini kwamba yupo kazini na kwamba namwacha afanye kazi. Upendo na amani vimetawala kati yetu na maisha yanaendelea.

Vipi mwenzangu unakabiliana vipi na changamoto hizi?
Yaani ningekuwa mie? Hee! Huoni hii ni fursa kwako? Tena tafuta house girk mremboooo! Wa kijijini kwao.
Hata ukikamatwa mnakulana usijute kumuoa. Achague mke anatajaje. na lia kabisa kuwa ulikuwa na nyege mpaka ganzi ya kiuno ilikusumbua.

Acha utoto hiyo ni fursa adimu siyo changa moto! Tena unawahi nyumbani mnapika mnavotaka na house keeper! Chuchu saa sita. Unalialua humu.

Akipata ujauzito anaenda kwao unagharamia kila kitu mara una mrudisha.akikolea na wewe kolea tangaza mitala baaasi.

Usisemee usabato wa kizungu wakikupiga stop weye nenda tu.zaka toa usishiriki chakula cha bwana kwa usalama.
 
Back
Top Bottom