kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Blue Monday woyeeeee....!!!
Napenda kuchukua fursa hii adhimu kabisa tena asbh, bila hata sijaswaki.
Hivi ni wangapi tumeshawapa Beki3 mimba na kuzaa nao tena wengine tumefika mbali hadi kuwaoa???
Najua utamu wao wawapo ndani ya Fathers House, baba atakapo kuwa anammendea dada wa kazi hapo ndio utajua kazi ya dada nzuri au mbaya, hapa mabadiliko ya ratiba ya kuwahi home ilikuwa ya baba daily lkn akishafollow in love ndio baba atakuwa anawahi sana nyumbani kuliko mama.
NB: Siwakejeli ila najua huduma zao zilivyo za kutukuka sana za kulea familia na baba anapokuwa In Love nae huwa Familia inatulia hata mama anajiuliza why siku hizi dada anaipenda familia kuliko maelezo, najua 7bu unazo 100%.
"Nawapongeza sana wadada mliowaleo watoto wa Fathers House nawe ukaona yatosha niwakati sahihi nawe kupata mtoto wako ukiwa hapo hapo na Fathers House.
1. Kuna Waliopata ndoa kabisa
2. Waliopata maisha mazuri
3. Waliopata kujengewa nyumba
4. Waliopata Elimu kupitia Fathers
5. Waliopata watoto na sasa kuitwa
Mothers House"
Napenda kuchukua fursa hii adhimu kabisa tena asbh, bila hata sijaswaki.
Hivi ni wangapi tumeshawapa Beki3 mimba na kuzaa nao tena wengine tumefika mbali hadi kuwaoa???
Najua utamu wao wawapo ndani ya Fathers House, baba atakapo kuwa anammendea dada wa kazi hapo ndio utajua kazi ya dada nzuri au mbaya, hapa mabadiliko ya ratiba ya kuwahi home ilikuwa ya baba daily lkn akishafollow in love ndio baba atakuwa anawahi sana nyumbani kuliko mama.
NB: Siwakejeli ila najua huduma zao zilivyo za kutukuka sana za kulea familia na baba anapokuwa In Love nae huwa Familia inatulia hata mama anajiuliza why siku hizi dada anaipenda familia kuliko maelezo, najua 7bu unazo 100%.
"Nawapongeza sana wadada mliowaleo watoto wa Fathers House nawe ukaona yatosha niwakati sahihi nawe kupata mtoto wako ukiwa hapo hapo na Fathers House.
1. Kuna Waliopata ndoa kabisa
2. Waliopata maisha mazuri
3. Waliopata kujengewa nyumba
4. Waliopata Elimu kupitia Fathers
5. Waliopata watoto na sasa kuitwa
Mothers House"