Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Wana JF!
Katika kuonyesha KILIMO KWANZA kwa vitendo, nimekuwa na wazo kwamba wana JF tunaweza kuunganisha nguvu zetu na kuwa na shamba la kisasa litakaloitwa JAMII FARM. Shamba hili liwe kumbwa sana na linapaswa kuwa la mfano. Shamba hili liwe na mifugo mbalimbali (kuku wa aina zote, ng'ombe (maziwa na nyama), mbuzi, bata mzinga na wengineo; pamoja na bustani za mboga mbalimbali. Hili ni wazo, nakaribisha mawazo ya wengine. Tuwaweza kutumia mfumo wa kuwa na hisa na watu kununua hisa.
Katika kuonyesha KILIMO KWANZA kwa vitendo, nimekuwa na wazo kwamba wana JF tunaweza kuunganisha nguvu zetu na kuwa na shamba la kisasa litakaloitwa JAMII FARM. Shamba hili liwe kumbwa sana na linapaswa kuwa la mfano. Shamba hili liwe na mifugo mbalimbali (kuku wa aina zote, ng'ombe (maziwa na nyama), mbuzi, bata mzinga na wengineo; pamoja na bustani za mboga mbalimbali. Hili ni wazo, nakaribisha mawazo ya wengine. Tuwaweza kutumia mfumo wa kuwa na hisa na watu kununua hisa.