Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
sitaki kuamini kuwa ile sinema iliyoanzishwa na kamanda kova na bwana joshua gitui,mkenya aliyedaiwa kumteka na kumtesa ulimboka imeisha hivihivi.alifikishwa mahakamani kimyakimya bila watu kuona wala kujua.haikujulikana kawekwa gereza gani na kesi yake itatajwa tena lini.tuwe makini sana jamani hata na huyu aliyemuua mwangosi asije akatoweka kama huyu wa kova/ulimboka.