Tujitahidi kuwa waangalifu sana huko makazini zama za sasa vijana wamejaa majungu na wivu kushinda wazee

Namkumbuka bi mkubwa alikuwa anatuimbia karibia album yote hasa Moyibi,Armour Perdu na Eve Matoko nk kwenye album aliyoshirikiana na marehem Pepe Kalle
Mimi hizi alikuwa anasikiliza sana mzee, kuna ngoma moja ya TP Ok jazz wanaimba hivi "nalingi nabomelaka libala eh nasandoka matata na ngayi papa ya bana" unaweza kuwa unaifahamu jina ? ipo kwenye playlist moja ya franco inaitwa non stop
 
WELL SAID MKUU

Umetueleza jambo moja very sensitive, maisha ya sasa tumezungukwa na chuki, roho mbaya, unafki, ubinafsi na majungu. Roho zote hizi mbaya mzizi wake ni WIVU na kutakiana mabaya.

Kijana hakikisha hauna marafiki ambao hauna connection nao ya kueleweka. Hasa hawa uliokutana nao kazini au vijiwe vya pombe- Ulabuni na mtaani unapo kaa. Usipende kukaribisha marafiki hao nyumbani kwako, waishie kupaona kwa mbali, ikibidi kama nyumba ni ya kwako waambie umepanga, na wala usipende kushea nao mipango, mikakati na mafanikio yako. Hakika hao ndio watakao kukaanga mapema zaidi.

Mtu anakuja kwako kukutembelea kama mshkaji halafu huyo huyo anakuchora mambo yako anapeleka maneno kazini kuwa huyu jamaa anabonge la nyumba kajenga kwa mshahara upi? kanunua gari amemfungulia mkewe biashara anaishi vizuri kwa mshahara upi huyu lazima anakula rushwa au anapiga hela sehemu sio bure.....

Mambo ya kazini jitahidi yaishie kazini, mambo ya nyumbani na mtaani yaishie huko yasiende kazini. Kata huo mnyororo wa mahusiano kabisa. Kataa kabisa marafiki wakazini kuja nao mtaani. Hawa watu uliokutana nao kazini SIYO MARAFIKI ZAKO mmekutana pale kwaajili ya kazi ukitaka kuamini hao siyo marafiki zako mmoja wenu abadili kazi, aachishwe kazi, au ahamishwe eneo, Uone kama ukaribu na mawasiliano yataendelea kuwepo.

Kama unafanya ujenzi au biashara usipeleke marafiki wakazini wakapajue. Tena kwenye biashara wakijua ni biashara yako hawatanunua vitu kwako wataenda kununua kwingine, kwako utaona wanauliza bei wana sepa.

Na usikubali kujenga nyumba mtaa mmoja na wafanyakazi wenzako hiyo ni mbaya kinoma, kama huamini fuatilia uone majungu wanayopigana walio jenga hivyo.

Rafiki yako wa kweli ni yule ulietoka nae utotoni mpaka leo uko nae karibu (japo kuwa nao baadhi wanakuaga wasaliti na wapuuzi) Kama huna huyo achana kabisa kushobokea watu ulio kutana nao wakati umeota ndevu, au maziwa...hao watu watakukaanga vibaya.. huto amini. Jenga urafiki na mtu ambae unaona ana akili nzuri kama ya kwako au kuzidi ya kwako ila asiwe wa kazini kwako.

Chunga sana...Mmbaya wako siku zote hatoki mbali, Mchawi huwa harogi mbali.. Hakikisha unatokomeza masnitch wote usio waelewa katika hatua za mwanzo sana, usiruhusu mtu akujue jue ovyo ovyo, wala asikuzoee ovyo. Utaishi kwa raha sana na mambo yako hawata kuchawia.
You nailed it

Ngoja nikandie kidogo

Matatizo mengo kazini yanatokana na mazoea ukiwa serious ni ngumu sana kupata matatizo ila ukiwa mambo ya utani kuzoea shobo mdundo kichele umeumia

Mimi kawaida yangu natoa mchango wa harusi na wala sihudhurii sijui party wala mavi ya sherehe junapili natoka na wanangu wa kitaa watu wa ofisi nawakacha wanajirundika na kutembea pamoja kama wale west life nj ushamba

Group wakianza mada za kudiss nakaa kimya na group la kitengo changu yaani tupo sisi tu kwa level fulani nimeleft nimekaa la staff wote mpaka boss yupo hivi vikundi vya pembeni kusengenya tu na ushamba

Ghetto wanakuja jamaa niliomaliza nao tukasota wote tumeajiriwa pamoja wale tumekutana kazini sipendi shobo

La mwisho sitongozi manzi yeyote sitaki dharau ugumu ugumu pale ofisi
 
You nailed it

Ngoja nikandie kidogo

Matatizo mengo kazini yanatokana na mazoea ukiwa serious ni ngumu sana kupata matatizo ila ukiwa mambo ya utani kuzoea shobo mdundo kichele umeumia

Mimi kawaida yangu natoa mchango wa harusi na wala sihudhurii sijui party wala mavi ya sherehe junapili natoka na wanangu wa kitaa watu wa ofisi nawakacha wanajirundika na kutembea pamoja kama wale west life nj ushamba

Group wakianza mada za kudiss nakaa kimya na group la kitengo changu yaani tupo sisi tu kwa level fulani nimeleft nimekaa la staff wote mpaka boss yupo hivi vikundi vya pembeni kusengenya tu na ushamba

Ghetto wanakuja jamaa niliomaliza nao tukasota wote tumeajiriwa pamoja wale tumekutana kazini sipendi shobo

La mwisho sitongozi manzi yeyote sitaki dharau ugumu ugumu pale ofisi
Kwa nini sasa hutongozi? Au hujiamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WELL SAID MKUU

Umetueleza jambo moja very sensitive, maisha ya sasa tumezungukwa na chuki, roho mbaya, unafki, ubinafsi na majungu. Roho zote hizi mbaya mzizi wake ni WIVU na kutakiana mabaya.

Kijana hakikisha hauna marafiki ambao hauna connection nao ya kueleweka. Hasa hawa uliokutana nao kazini au vijiwe vya pombe- Ulabuni na mtaani unapo kaa. Usipende kukaribisha marafiki hao nyumbani kwako, waishie kupaona kwa mbali, ikibidi kama nyumba ni ya kwako waambie umepanga, na wala usipende kushea nao mipango, mikakati na mafanikio yako. Hakika hao ndio watakao kukaanga mapema zaidi.

Mtu anakuja kwako kukutembelea kama mshkaji halafu huyo huyo anakuchora mambo yako anapeleka maneno kazini kuwa huyu jamaa anabonge la nyumba kajenga kwa mshahara upi? kanunua gari amemfungulia mkewe biashara anaishi vizuri kwa mshahara upi huyu lazima anakula rushwa au anapiga hela sehemu sio bure.....

Mambo ya kazini jitahidi yaishie kazini, mambo ya nyumbani na mtaani yaishie huko yasiende kazini. Kata huo mnyororo wa mahusiano kabisa. Kataa kabisa marafiki wakazini kuja nao mtaani. Hawa watu uliokutana nao kazini SIYO MARAFIKI ZAKO mmekutana pale kwaajili ya kazi ukitaka kuamini hao siyo marafiki zako mmoja wenu abadili kazi, aachishwe kazi, au ahamishwe eneo, Uone kama ukaribu na mawasiliano yataendelea kuwepo.

Kama unafanya ujenzi au biashara usipeleke marafiki wakazini wakapajue. Tena kwenye biashara wakijua ni biashara yako hawatanunua vitu kwako wataenda kununua kwingine, kwako utaona wanauliza bei wana sepa.

Na usikubali kujenga nyumba mtaa mmoja na wafanyakazi wenzako hiyo ni mbaya kinoma, kama huamini fuatilia uone majungu wanayopigana walio jenga hivyo.

Rafiki yako wa kweli ni yule ulietoka nae utotoni mpaka leo uko nae karibu (japo kuwa nao baadhi wanakuaga wasaliti na wapuuzi) Kama huna huyo achana kabisa kushobokea watu ulio kutana nao wakati umeota ndevu, au maziwa...hao watu watakukaanga vibaya.. huto amini. Jenga urafiki na mtu ambae unaona ana akili nzuri kama ya kwako au kuzidi ya kwako ila asiwe wa kazini kwako.

Chunga sana...Mmbaya wako siku zote hatoki mbali, Mchawi huwa harogi mbali.. Hakikisha unatokomeza masnitch wote usio waelewa katika hatua za mwanzo sana, usiruhusu mtu akujue jue ovyo ovyo, wala asikuzoee ovyo. Utaishi kwa raha sana na mambo yako hawata kuchawia.
Umemaliza mkuu. Wafanyakazi wenzako wafike nyumbani kwako pale tu inapobidi iwe hivyo labda kama umepata msiba basi na si vinginevyo. Lakini hayo mambo sijui kipaimara, ubatizo, maulid, n.k. unajitia kuwaalika ndugu yangu hiyo kazi utaiona chungu na mpaka uje kugundua shida ni hao wenzako uliowaalika nyumbani ndio wanakuzunguuka tayari utakuwa umeshashushwa cheo kama sio kufukuzwa kabisa.
 
Back
Top Bottom