Katika kundi linaloonekana kwenye picha hii ni akina mama wanne tu ndiyo wanaolia. Hivi hao ndiyo wanyonge kwenye kundi hilo? Wengine, wasiolia ndiyo mabwanyenye ...au?View attachment 1777914
Sasa Bibi kama huyu anajielewa na unaweza kumweka katika kundi la wananchi wanaojitambua !.
sasa kwanini wanasiasa makini na wanofanya vyema kuliko wanasiasa uchwara hawafanikiwi kuwavutia hilo kundi lisilo mbele wala nyuma huwa wanakosea wapi?Sababu ni rahisi kuwaproganda kuliko makundi mengine.
Mnyonge ni futureless person yaani mtu hoe hae asiye na mbele wala nyuma na hana mawazo mengine zaidi ya kula.Wanyonge ni mtaji wa wanasiasa uchwara wanaosababisha watu wawe wanyonge Ili wawatumie kisiasa.
Chozi la mnyonge halina thamani? Hapana Mungu huwa analiona.
Kwa nini Hugo Chavez na Hayati Magufuli waliliwe na wanyonge kiasi cha kushangaza dunia?
Mbona George Bush snr hakuliliwa na wanyonge?
Siasa zina mambo mengi sana. Ila mengi ni mabaya.View attachment 1777899View attachment 1777901
Sababu hili kundi ni jepesi kulidanganya mwanasiasa makini uzungumza factsasa kwanini wanasiasa makini na wanofanya vyema kuliko wanasiasa uchwara hawafanikiwi kuwavutia hilo kundi lisilo mbele wala nyuma huwa wanakosea wapi?
Ni kawaida wapambe wa madhalimu kuaandaa waliaji ili kuhadaa umma kuwa walikuwa wanakubalika sana.Chozi la mnyonge halina thamani? Hapana Mungu huwa analiona.
Kwa nini Hugo Chavez na Hayati Magufuli waliliwe na wanyonge kiasi cha kushangaza dunia?
Mbona George Bush snr hakuliliwa na wanyonge?
Siasa zina mambo mengi sana. Ila mengi ni mabaya.View attachment 1777899View attachment 1777901
Unauliza au unapigia jibu mstari? Ww endelea kunyeshea maua hapo kwenye kaburi la dhalimu.Ahaaa, yaani waliolia waliandaliwa? Ahaaa acha chuki dhidi ya marehemu.