Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Moja ya mbinu za madikteta ni kuwafadhili wanyonge, ambao ndiyo majority, ili kupata ukubali wao.Chozi la mnyonge halina thamani? Hapana Mungu huwa analiona.
Kwa nini Hugo Chavez na Hayati Magufuli waliliwe na wanyonge kiasi cha kushangaza dunia?
Mbona George Bush snr hakuliliwa na wanyonge?
Siasa zina mambo mengi sana. Ila mengi ni mabaya.View attachment 1777899View attachment 1777901
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app