"TUJITAFAKARI KAMA NCHI"

Ocenicbay

Senior Member
Apr 9, 2017
103
121
Baada ya Jana kusomwa ripoti ya pili,uchunguzi wa madini.Viongozi mbalimbali (C.C.M)wameibuka na kutoa kauli za kumpongeza Rais,na kusahau kuwa haohao ndio walitoa pongezi kabla na baada ya hiyo mikataba kusainiwa,Kwa kweli ni aibu kwa nchi kuwa na viongozi wa aina hii."
 
Kupongezwa Rais si tatizo shida ni kwamba tumeibiwa vyakutosha na hatuwezi kurudishiwa kilichoibwa. Mbaya zaidi waliosababisha tuibiwe WAPO na hawakamatwi.
 
Hawa jamaa watakaporudi kwenye vikao vyao vya chama (CCM) watataka kufunika kombe mwana haramu apite. Na hii utaambiwa ni kukinusuru chama

Kilichotakiwa ni kubadili chama japo kwa miaka 5 ili kutoa fursa ya kubadili katiba kwa uhuru na kuondoa kinga ya Rais kutokushtakiwa hata baada ya kufanya madudu kama haya.
 
Hawa jamaa watakaporudi kwenye vikao vyao vya chama (CCM) watataka kufunika kombe mwana haramu apite. Na hii utaambiwa ni kukinusuru chama

Kilichotakiwa ni kubadili chama japo kwa miaka 5 ili kutoa fursa ya kubadili katiba kwa uhuru na kuondoa kinga ya Rais kutokushtakiwa hata baada ya kufanya madudu kama haya.
Mkuu, sisiemu wapo tayari kufanya lolote la ghilba ili waendelee kuwa madarakani. Wanafahamu fika kuwa kikiingia chama kingine viboko watakavyolambishwa kwa madudu wanayoyafanya vitakuwa vya hatari. Wapo tayari kugeuzageuza kila neno zuri toka kwa wapinzani liwe baya. Kwa kuamini hili wafuatilie humu wanachojadili na kuchangia. Hata aibu hayana.
Yakibanwa sana utaona wameandika... "aliitwa fisadi miaka sabini, leo kajiunga nao..." Sisiemu ni hopeless materials kwelikweli!
 
Mi nafikiri pia bado nguvu ya umma kwa hizi nchi zetu tupo nyuma,Juzi eti kiongozi mzima mwenye nafasi kwenye baraza la mawaziri anasema sijawahi ona bajeti iliyowahi kushangiliwa kama hii"na simply shangwe izo zilikuwa na ushabiki tu wa kichama,Bila kuangalia athari ya mojakwamoja kiuhalisia kwa mwananchi wa kawaida"Ni mara ngapi C.C.M wanatumia wingi wao bungeni kushangilia shangilia tuu vitu hata vya hovyo,jambo likaharibika ndo wanajitokeza kuongea such kind of nonsense...Hii inchi ina viongozi wasio na haya wala aibu ever seen,ITS BIG SHAME TO C.C.M...We are tied of them
 
Back
Top Bottom