chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 1,991
- 1,364
i. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja - Kwanini, baadhi ya vyama, ili upewe nafasi ya uwenyekiti lazima uwe umeoa kwenye familiya ya fulani?
ii. Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma - Kule kwa Mrombo mnawapiga wale wa upande wa pili? Kule pemba hatuingiliani kisa tunatofautiana kunyoosha vidole?
iii. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa, na dhuluma hapa nchini na duniani pote - Tumebaki kutetea wenye pesa, wakidaiwa kodi hooo wananyanyaswa, wamekuwa makabaila, wakipunduziwa mashamba ooooh wanaonewa mmmmm?
iv. Rushwa ni adui wa haki, sitatatoa wala kupokea Rushwa - Ile list of shame ilisahaulika, na nikosa kuitaja, kwanini?
v. Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote - Hii ni home work.
vi. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu na dunia yenye haki na amani - Wale wa MIGA, deep green tujipime
vii. Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko - Kwanini Spika na Waziri Mkuu atualike futari tena mwezi wa toba tusiendee, kwanini kwenye msiba upewe mkono ukatae, unawaza sawasawa?
viii. Nitakuwa raia mwema wa Tanzania, Afrika na Dunia nzima - Kwanini msilipe kodi
ix. Nitakuwa mtii kwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kwanini maneno ya kejeli, dharau na matusi kwa viongozi wa Serikali?
ii. Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma - Kule kwa Mrombo mnawapiga wale wa upande wa pili? Kule pemba hatuingiliani kisa tunatofautiana kunyoosha vidole?
iii. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa, na dhuluma hapa nchini na duniani pote - Tumebaki kutetea wenye pesa, wakidaiwa kodi hooo wananyanyaswa, wamekuwa makabaila, wakipunduziwa mashamba ooooh wanaonewa mmmmm?
iv. Rushwa ni adui wa haki, sitatatoa wala kupokea Rushwa - Ile list of shame ilisahaulika, na nikosa kuitaja, kwanini?
v. Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote - Hii ni home work.
vi. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu na dunia yenye haki na amani - Wale wa MIGA, deep green tujipime
vii. Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko - Kwanini Spika na Waziri Mkuu atualike futari tena mwezi wa toba tusiendee, kwanini kwenye msiba upewe mkono ukatae, unawaza sawasawa?
viii. Nitakuwa raia mwema wa Tanzania, Afrika na Dunia nzima - Kwanini msilipe kodi
ix. Nitakuwa mtii kwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kwanini maneno ya kejeli, dharau na matusi kwa viongozi wa Serikali?