Tujikumbushe ya Profesa Assad enzi hizo akijiita MJ Assad kule business school UDSM

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Hakika alikuwa mtu wa mazoezi sana ya kukimbia asubuhi hasa ule mlima wa Engineering college kuelekea Computing centre

Alikuwa anaongea Kiingereza cha Marekani sana akifundisha na njiani, Sikuwahi kumuona akiongea Kiswahili kabisa, MJ ASSAD aliigeuza accounting kuwa kama kumfundisha mtoto kuhesabu moja mpaka tano, Wengi walifurahi kukaa darasa la ASSAD

Alitumia Technology kubwa sana kufundisha hasa kwenye ku link transactions, Hakika ilikuwa ni furaha sana ingawa sikupenda accounting lakini alitufanye tupende accounting

Enzi hizo akiwa anajifunza kufundisha akisimamiwa na Sister wa kikatoliki akiitwa sr Bastista alikuwa anatetemeka sana Profesa ASSAD darasani

Niliporudi tena shule miaka ya 2000 mwanzoni hakika alikuwa anafundisha sana sana
Assad katika ishu ya udhibiti yupo vizuri sana sana
Mimi sio mhasibu au Auditor lakini hakika hakuna mtu aliyemfikia pale udsm kwa kutumia technology kufundisha ni mtu wa practical sana

Kila jioni hasa vile vipindi vya usiku ikifika muda wa swala aliacha kufundisha na kwenda pembeni ya Theatre kufanya swala kwanza na kurudi kufundisha tena
Alikuwa anatembelea magari kulingana na hali ya hewa alikuwa na magari ya mvua na Jua wengi tunalikumbuka lile Benzi lake unique enzi hizo udsm

Mimi binafsi kwa jinsi alivyokuwa vizuri na akitoa changamoto sana sikutegemea angekuwa CAG kwani angewaumbua sana viongozi kwenye masuala ya udhibiti wa fedha

Kuna mambo mengi wengine muendelee kuchangia nawatakia Jumamosi njema
 
Walimu wa siku hizi udbs wa accounting au Finance wanaulizaga tu nani ana background ya accounting?wakinyoosha mikono wawili watatu basi utasikia waulizeni hao wawaelekeze vizuri
Mwenyewe huyoo anaenda kufanya audit mtaani

Anyways mjadala ni hazionekani sasa zime allocate wapi?au hazijalipwa (accrued)? Sasa kwanini CAG alizipigia mahesabau ?,sheria inaruhusu hivyo?

Me naona bwana mkubwa jana ndo amezidisha confusion tu ukizingatia yeye reports zimetuhumu mkuu anapangua na kupanga matumizi yeye ndio maana kwenye wizara ya ujenzi imepokea fedha zaidi ya 100%

Issue ni rule of law na separation of power kwa upana wake in a democratic state
 
Me naona bwana mkubwa jana ndo amezidisha confusion tu ukizingatia yeye reports zimetuhumu mkuu anapangua na kupanga matumizi yeye ndio maana kwenye wizara ya ujenzi imepokea fedha zaidi ya 100%

Issue ni rule of law na separation of power kwa upana wake in a democratic state


mwekundu wewe ndiyo umeelewa hoja ya CAG na Zitto kuhusu zile Trilioni 1.5.
 
mwekundu wewe ndiyo umeelewa hoja ya CAG na Zitto kuhusu zile Trilioni 1.5.
Assad enzi hizo alimiliki kampuni ya ukaguzi ikiitwa ASSAD associates tulijifunza mengi wakati wa practical haya yanayotokea kwenye ukaguzi serikali na hizo standard zao uchwara hakika alitufundisha sana

Ingawa wengi sisi sio wahasibu au wakaguzi lakini naelezea maana ya Accrual kwa enzi zetu kwa mujibu wa Dr Assad

Revenue is recognized when earned but not when cash is received hii alimaanisha unatambua mapato na kurekodi mauzo au mapato pale muamala unapofanyika na sio lazima upokee pesa, Hii ina maana kwenye accrual basis accounting system mauzo hutambulika pale yanapofanyika lakini sio lazima pesa upokee

Kwenye report yake Assad hajaongelea accrual kama waziri anavyosema, ninampinga Waziri sana sana, Assad ameongelea mapato halisi yaani actual cash iliyokusanywa ukitoa actual cash waliyotumia 1.5 trilioni haipo

Kwa ufupi umekusanya shs 100 zipo Bank ukatumia 80 ,Halafu 20 huelezei ipo wapi?

Hakika Assad ni yule yule, Report imemuweka huru

Wajuvi changieni sisi wengine hatukupenda accounting ingawa Assad mpaka leo ametufanya tuyakumbuke mambo ya accounting
 
Walimu wa siku hizi udbs wa accounting au Finance wanaulizaga tu nani ana background ya accounting?wakinyoosha mikono wawili watatu basi utasikia waulizeni hao wawaelekeze vizuri
Mwenyewe huyoo anaenda kufanya audit mtaani

Anyways mjadala ni hazionekani sasa zime allocate wapi?au hazijalipwa (accrued)? Sasa kwanini CAG alizipigia mahesabau ?,sheria inaruhusu hivyo?

Me naona bwana mkubwa jana ndo amezidisha confusion tu ukizingatia yeye reports zimetuhumu mkuu anapangua na kupanga matumizi yeye ndio maana kwenye wizara ya ujenzi imepokea fedha zaidi ya 100%

Issue ni rule of law na separation of power kwa upana wake in a democratic state
Umenifanya nicheke.

Miaka ile naenda kusoma accounting, sikua na back ground yoyote na Debit and credit, mwalimu siku ya kwanza akaingia darasani akaanza na mfano, John bought a motor vehicle by $100 cash, kisha akauliza darasani, tunadebit nini na tunacredit nini, wale jamaa waliosoma ECA wakaanza kujib, tunadebit motor vehicle account by $100 na tunacredit cash by $100.

Kisha ticha akasema maswali mengine mtawauliza wenzenu, somo likaishia hapo mambo ya double entry system. Nikabaki nimetoa macho kama mjusi aliebanwa na mlango.

Waalim wa siku hizi hovyo sana.
 
Assad enzi hizo alimiliki kampuni ya ukaguzi ikiitwa ASSAD associates tulijifunza mengi wakati wa practical haya yanayotokea kwenye ukaguzi serikali na hizo standard zao uchwara hakika alitufundisha sana

Ingawa wengi sisi sio wahasibu au wakaguzi lakini naelezea maana ya Accrual kwa enzi zetu kwa mujibu wa Dr Assad

Revenue is recognized when earned but not when cash is received hii alimaanisha unatambua mapato na kurekodi mauzo au mapato pale muamala unapofanyika na sio lazima upokee pesa, Hii ina maana kwenye accrual basis accounting system mauzo hutambulika pale yanapofanyika lakini sio lazima pesa upokee

Kwenye report yake Assad hajaongelea accrual kama waziri anavyosema, ninampinga Waziri sana sana, Assad ameongelea mapato halisi yaani actual cash iliyokusanywa ukitoa actual cash waliyotumia 1.5 trilioni haipo

Kwa ufupi umekusanya shs 100 zipo Bank ukatumia 80 ,Halafu 20 huelezei ipo wapi?

Hakika Assad ni yule yule, Report imemuweka huru

Wajuvi changieni sisi wengine hatukupenda accounting ingawa Assad mpaka leo ametufanya tuyakumbuke mambo ya accounting
yeah inaitwa accrual principle ,sasa issue je sheria inaruhusu yeye kukagua fedha zisizokusanywa?(earned but not collected?)
 
Assad enzi hizo alimiliki kampuni ya ukaguzi ikiitwa ASSAD associates tulijifunza mengi wakati wa practical haya yanayotokea kwenye ukaguzi serikali na hizo standard zao uchwara hakika alitufundisha sana

Ingawa wengi sisi sio wahasibu au wakaguzi lakini naelezea maana ya Accrual kwa enzi zetu kwa mujibu wa Dr Assad

Revenue is recognized when earned but not when cash is received hii alimaanisha unatambua mapato na kurekodi mauzo au mapato pale muamala unapofanyika na sio lazima upokee pesa, Hii ina maana kwenye accrual basis accounting system mauzo hutambulika pale yanapofanyika lakini sio lazima pesa upokee

Kwenye report yake Assad hajaongelea accrual kama waziri anavyosema, ninampinga Waziri sana sana, Assad ameongelea mapato halisi yaani actual cash iliyokusanywa ukitoa actual cash waliyotumia 1.5 trilioni haipo

Kwa ufupi umekusanya shs 100 zipo Bank ukatumia 80 ,Halafu 20 huelezei ipo wapi?

Hakika Assad ni yule yule, Report imemuweka huru

Wajuvi changieni sisi wengine hatukupenda accounting ingawa Assad mpaka leo ametufanya tuyakumbuke mambo ya accounting
Uko sahihi.

Kwenye kanuni za kihasibu ambazo zipo nyingi ila ambazo zinatumika sana ni accrual basis na cash basis.

Kwenye cash basis unarecognize(unatambua au kuweka kwenye rekodi,kuandika) muamala wa kibiashara kwenye vitabu vyako vya mahesabu pale tu ambapo umepokea hela na si vinginevyo.

Mfano, ukiletewa bili ya umeme, siku ukilipa ndio unaandika hiyo hela kwenye vitabu vyako vya matumizi, ikija leo mwenzi wa 4, alafu hela ukalipa mwezi wa 7, utaiandika siku ya malipo ambayo ni mwezi wa 7.

Accrual basis ni pale unaporekodi kila muamala wa pesa ili mradi tu umefanyika bila kujali kama hiyo hela imelipwa/kupokelewa au la.

Mfano, ukiletewa bili ya maji leo, unaiandika leo leo hii bila kujali hela utazilipa lini hata kama utazilipa mwakani.

Kutuambia TRA walitumia accrual basis kwenye kukusanya hela kama alivyosema Pole Pole ni kwamba anadhani watu wote hawajui kanuni za kihasibu. Labda tu ni kwa vile watu wengi bado ni wajinga hvyo hawajui chochote.
 
Napenda confidence ya Prof. Mimi ni mdau wa fedha ila sio mhasibu kwa interest nmehudhuria training za IFRS and Ipsas, Cash basis ilikuwa inatumika zamani sana, kwa Sasa accrue basis ndio kila kitu. Rais hapaswi kujibu hoja sio kazi yake, watendaji(Ceos, makatibu wakuu, wakurugenzi) ndio wanapaswa kupangua hoja za CAG
 
Uko sahihi.

Kwenye kanuni za kihasibu ambazo zipo nyingi ila ambazo zinatumika sana ni accrual basis na cash basis.

Kwenye cash basis unarecognize(unatambua au kuweka kwenye rekodi,kuandika) muamala wa kibiashara kwenye vitabu vyako vya mahesabu pale tu ambapo umepokea hela na si vinginevyo.

Mfano, ukiletewa bili ya umeme, siku ukilipa ndio unaandika hiyo hela kwenye vitabu vyako vya matumizi, ikija leo mwenzi wa 4, alafu hela ukalipa mwezi wa 7, utaiandika siku ya malipo ambayo ni mwezi wa 7.

Accrual basis ni pale unaporekodi kila muamala wa pesa ili mradi tu umefanyika bila kujali kama hiyo hela imelipwa/kupokelewa au la.

Mfano, ukiletewa bili ya maji leo, unaiandika leo leo hii bila kujali hela utazilipa lini hata kama utazilipa mwakani.

Kutuambia TRA walitumia accrual basis kwenye kukusanya hela kama alivyosema Pole Pole ni kwamba anadhani watu wote hawajui kanuni za kihasibu. Labda tu ni kwa vile watu wengi bado ni wajinga hvyo hawajui chochote.
Nchi hii wajanja hawazidi milioni 2,alafu kuna milioni 3 ambao ndo wanaanza kujanjaruka na kuona mwanga kwa mbali,milioni 45 waliobaki wanaongozwa na kuwategemea milioni 2.
 
Kuna watu wana kipaji cha kufundisha. Mtu anaweza kulidadavua somo gumu sana na likawa rahisi mno kama 1+1 kuna mpemba chuoni alikuwa na kipaji cha hali juu akikufundisha basi huna hata haja ya kusoma kwa kweli ni kwenda moja moja kwenye chumba cha mtihani kuchukua msonge wako tena plus.

Hakika alikuwa mtu wa mazoezi sana ya kukimbia asubuhi hasa ule mlima wa Engineering college kuelekea Computing centre

Alikuwa anaongea Kiingereza cha Marekani sana akifundisha na njiani, Sikuwahi kumuona akiongea Kiswahili kabisa, MJ ASSAD aliigeuza accounting kuwa kama kumfundisha mtoto kuhesabu moja mpaka tano, Wengi walifurahi kukaa darasa la ASSAD

Alitumia Technology kubwa sana kufundisha hasa kwenye ku link transactions, Hakika ilikuwa ni furaha sana ingawa sikupenda accounting lakini alitufanye tupende accounting

Enzi hizo akiwa anajifunza kufundisha akisimamiwa na Sister wa kikatoliki akiitwa sr Bastista alikuwa anatetemeka sana Profesa ASSAD darasani

Niliporudi tena shule miaka ya 2000 mwanzoni hakika alikuwa anafundisha sana sana
Assad katika ishu ya udhibiti yupo vizuri sana sana
Mimi sio mhasibu au Auditor lakini hakika hakuna mtu aliyemfikia pale udsm kwa kutumia technology kufundisha ni mtu wa practical sana

Kila jioni hasa vile vipindi vya usiku ikifika muda wa swala aliacha kufundisha na kwenda pembeni ya Theatre kufanya swala kwanza na kurudi kufundisha tena
Alikuwa anatembelea magari kulingana na hali ya hewa alikuwa na magari ya mvua na Jua wengi tunalikumbuka lile Benzi lake unique enzi hizo udsm

Mimi binafsi kwa jinsi alivyokuwa vizuri na akitoa changamoto sana sikutegemea angekuwa CAG kwani angewaumbua sana viongozi kwenye masuala ya udhibiti wa fedha

Kuna mambo mengi wengine muendelee kuchangia nawatakia Jumamosi njema
 
Kuna watu wana kipaji cha kufundisha. Mtu anaweza kulidadavua somo gumu sana na likawa rahisi mno kama 1+1 kuna mpemba chuoni alikuwa na kipaji cha hali juu akikufundisha basi huna hata haja ya kusoma kwa kweli ni kwenda moja moja kwenye chumba cha mtihani kuchukua msonge wako tena plus.

Mkuu BAK anaitwaje huyo tumtafute aje kum replace ASSAD
 
Ile American English siku ya kwanza nilitoka kapa ! Ila nilipenda personality yake na swag ! Jamaa ana utu sana hana dharau kabisa ! Anapenda kufanya wasiojua wajue ! Maprof wanchache sana wanaroho nzuri !
Ndinga zake balaa !!! Alikua anapeleka watoto wake shule yeye mwenyewe ,nikawa najiuliza pamoja na majukumu yote alokua nayo bado anakomaa mpaka kupeleka watoto shule ?
He is a good man !
 
Back
Top Bottom