Hivi nani alikuwa anaendesha kipindi cha Mikingamo?
.Samahani kama nitakuwa nimemsingizia
Bujaga Izengo Kadago (RIP)?
Baada ya kumaliza na ngwe ya Sumaye kama Press Sec.wake, alirudishwa Maelezo briefly, then amepelekwa wizara ya Habari, nadhari kusubiri kustaafu kwa heshima.Jamani hivi Jacob Tesha yuko wapi? ukitaka kusikia "bass" ya kufurahisha basi ulikuwa unatakiwa usikilize taarifa za habari.
1. Dunstan Tido Mhando.
2. Suleiman Kumchaya.
3. Ben Kiko (Benedict Kikoloma - Homeboy) - Wakati wa vita ya nduli Amin.
4. Leonard Mambombotela???
5. Idd Rashid Mchata - Mchatta (kulikuwa na KM Chadema/Mtangazaji na Refa (nimekumbushwa).
6. (Abdul Masoud)inasemekana aliuawa kwa utapeli 80's. Wamenikumbusha.
7. Mzee Kijaruba Abdallah Mlawa.
8. Mikidadi Mahmoud. (http://www.bongocelebrity.com/2009/03/12/tanzania-rhythm-rtdmikidadi-mahmoud/).
9. Julius Nyaisanga.
10. Sango Kipozi.
11. Charles Hilary.
12. Mshindo Mkeyenge.......
Halima Kihemba -
Anko J - Nyaisanga - Sauti yake bomba sana hasa akisoma Taarifa ya Habari.
Mafuriko, ushawahi kubebwa na mafuriko ukangangania mti ukajiokoa? ndo mimi hapa.Off Topic
kwanini Umejiita ELININO lakini?
Mafuriko, ushawahi kubebwa na mafuriko ukangangania mti ukajiokoa? ndo mimi hapa.
Albert Msemembo na kipindi cha Majira, hivi ndo huyu Albert Nitwa wa ITV????