Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,252
Uwiiiiii uwiiiiiii 😭😭😭Una maana huyo Mama wa Ethiopia?
Wakati wa vita ya wao kwa wao wengi wao walibahatika kuikimbia vita ingawa wengi walikufa kwa njaa
Ila huyu mama alisikitisha sana maana alikuwa dhaifu sana na alikuwa na kichanga na mtoto alikuwa dhaifu sana kwa kutokupata chochote kwa mda mrefu
Mama hakuwa na maziwa kifuani kwa udhaifu aliokuwa nao
Alipoona mtoto anakaribia kufa kwa njaa akawa anamtemea mate yake ili apompoze njaa mtoto wake
Jamani vita muisikie tu kwani Ina mateso ya kila aina
Mama ashukuriwe kwa kila namna na tuwajali sana hatujui wamepitia mangapi
Sent from my iPhone using Tapatalk