naona kila siku viongozi wetu wanaaga dunia tujikumbushe baadhi ya viongoz waliotutoka tangu baba mwanaasha awe prezda..mi nikianza na Juma Akukweti...endelea na wengne
Yule Jamaa wa Tucta alikua analifatilia sana swala trc akawa anawaka sana kuwatetea wafanyakazi wa trc,kesho yake walikua na kikao ikulu asubuhi katengewa uji na mkewe baada ya kumaliza tu akadondoka akavuta,sijui jamaa anaitwaje nshamsahau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.