Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Ndugu mwanajamii mimi binafsi nimeifahamu jf kupitia kwa rafiki yangu mwakajana kipindi cha campeni akanitonya magamba walivyokuwa wakijipanga kuchakachua kura, niliifuatiria sana tangia hapo. Tukio ambalo sitolisahau kikao walichokaa jk, r1 na mkurugenzi wa mwanza na wengine wengi siwakumbuki. Lakini hili ndo tukio pekee lilonifanya niipende jf na baadaye kuamua kujiunga rasmi December mwakajana. Je wewe uliifahamu vp na nini kilikuimpress. Changia please