Tujikumbushe tuition za ukweli enzi hizo tukiwa madenti

AzaJangwa (AZANIA + JANGWANI), UKWATA, YCS! Kikoti- Ba'hai man!

Long Live AZANIA- ASS!
 
kuna ticha mmoja mrefu alikuwa anafundisha fizikia sikumbuki jina lake - wanafunzi walikuwa wanajiuliza waende kwake au kwa babu kazibure (huyu mzee alikuwa hatumii kitabu kufundishia na inasemekana alikuwa anadai nelkon alisoma naye na alikuwa mchovu tu darasani hivyo hawezi kutumia kitabu chake - michoro na maswali yake yalikuwa yamekaa kama ya kitabu cha university physics!)

Yule bwana mrefu anaitwa Mmanda (Mu-Iraqi), ni Mechanical Engineer TANESCO at present Ni kaka yake Dominic Mumbray aliyetoka Singe Secondary. Mkuu, unajua miaka 20 imepita! Tunaelekea uzeeni sasa! Mwenyezi atubariki.
 
Universal Physics.....kitabu imeshonwa kwa nyuzinyuzi na kitu cha Tranter ilikua hatari, universal physics anaitibu Babu Kazi Tranter na Beckhouse anazitibu Soo Much...hawa watu pamoja na mama Shija kina Wibonelle sijui kwa nini hawakuandika vitabu kwa ajiri ya kurahisisha elimu ya Advance maana kwa sasa waalimu ni ishu hata mitaani kuwapata watu kama hawa na kina Busanji, babu Mrisho,Issa n.k ni tatizo ukitaka kujua kama ni tatizo angalia matokeo ya Mzizima sekondari kwa Advanced Level miaka miwili hii ya karibuni maana wanaoikumbuka mzizima ya enzi ile watakubali. Kwa sasa wale wanaomudu kusomesha waoto wao Feza Boys & Girls au Marian ndo wenye tumaini la kufaulu au laa baadhi ya wanaoenda special schools vinginevyo hali ni ngumu tushirikianee kuwasaidia vijana wetu na kutengeneza upya elimu yetu irudi kwenye ile hadhi ya waliosoma wazee wetu na sie kukuta masalia
 
manda nafanya nae kazi....sikujua kama aliwahi kufundisha tuition
Yule bwana mrefu anaitwa Mmanda (Mu-Iraqi), ni Mechanical Engineer TANESCO at present Ni kaka yake Dominic Mumbray aliyetoka Singe Secondary. Mkuu, unajua miaka 20 imepita! Tunaelekea uzeeni sasa! Mwenyezi atubariki.
 
MImi nadhani nimepititea tuition zote hapo juu.....ila ukweli utabaki kwamba walimu wa mchikichini walikua juu zaidi....nakumbuka mpaka naanza form three nimeshamaliza syllabus yote ya O' level kwenye masomo ya PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGY NA MATHEMATICS.....

WALIMU WANGU WALIKUWA.....MUDDY (PHYSICS), HYDDEN AGENDA (MATHEMATICS), MBUGA (CHEMISTRY NA ABIOLOGY).....HAWA JAMAA NI HATARI SANA NA WALINIFANYA NIWE IN LOVE NA MASOMO YA SAYANSI.....THAT MADE ME CAME UP WITH THE OUTBREAK RESULTS....

SITAWASAHAU HAWA JAMAA IN MY LIFE....MIMI NILIPITIA PALE AZABOY ENZI ZA MZEE KWAYU,,,,,,TULIKUWA NA KINA LEODGARD,ONESPHORY,SHOMARI,AMIRI, BENJAMIN JOSEPH (DEDO),NA WENGINEO.....


ILIKUWA POA SANA WAKUU
 
M2 moja alikuwa anaitwa Mbuga..gwiji la Chemistry na Biology pale pande za mchikichini.

mwana notice za huyu jamaa zimenipiga tafu kwa bioz na chemia ndo maana nilichomoka advance mazee
 
Nakumbuka kuna jamaa alikuwa anaitwa aideni mitaa ya mchikichini nyuma ya tbl full harufu ya kimea. Jamaa alikuwa anapiga namba aibu. Vyumba vidogo congested raia kibao. Nakumbuka kuna siku nilizima 'suffocated' sikurudi tena #TUSI ZITO

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ivii hadi mahechi kunani mnapiga tuition? yoteyayote mchikidown ni nourmer pal kwa muddy,jerry,mwaramsha,hiden,nakansela
 
Mmemsahau hidden, bichwa la namba kuleee mchikichini tuliposoma watoto wa wadhulumiwa,unasoma hapa pale wanakaanga kahawa moshi mtindo mmoja but leo Alhadulillah,nikiwa ofisin kama nipo juu ya mlima kilimanjaro full makete napiga makofi kwa viganja vya miguu!!!

Dah unambwembwe mkuu
 
MImi nadhani nimepititea tuition zote hapo juu.....ila ukweli utabaki kwamba walimu wa mchikichini walikua juu zaidi....nakumbuka mpaka naanza form three nimeshamaliza syllabus yote ya O' level kwenye masomo ya PHYSICS,CHEMISTRY,BIOLOGY NA MATHEMATICS.....

WALIMU WANGU WALIKUWA.....MUDDY (PHYSICS), HYDDEN AGENDA (MATHEMATICS), MBUGA (CHEMISTRY NA ABIOLOGY).....HAWA JAMAA NI HATARI SANA NA WALINIFANYA NIWE IN LOVE NA MASOMO YA SAYANSI.....THAT MADE ME CAME UP WITH THE OUTBREAK RESULTS....

SITAWASAHAU HAWA JAMAA IN MY LIFE....MIMI NILIPITIA PALE AZABOY ENZI ZA MZEE KWAYU,,,,,,TULIKUWA NA KINA LEODGARD,ONESPHORY,SHOMARI,AMIRI, BENJAMIN JOSEPH (DEDO),NA WENGINEO.....


ILIKUWA POA SANA WAKUU

...ebwana Mkuu umenikumbusha hom enzi ya AZABOY ya 1999/2002,chini ya Baba Kwayu,Mchwampaka,Mkongo,Msafiri mzee wa Kiswahili,etc..,ila wengineo enzi zile ninaowakumbuka ni OCTAVIAN JAVERTY,CHARLES MICHAEL,MARTIN NTABAJANA,ISMAIL''SUMA'',GIBONCE SIMULE,SHOMARI,ISAACK,ISSA MWIKALO,GIBONCE ANTHONY,ELZEUS MELCHIOR,etc..

1)''..let us end here at zis particular conjuncture,bkoz tm is aproachin at infinity,2moro we wil continue wiz ANGULAR MOTION..,huyo ni.........,jembe la PHYSICS!!!''
2)''..haaya,amunje amunje,akabraket,akamainaz kisha akaplas,huyo ni.........,jembe la NAMBA.''
3)''..madogo hebu acheni zenu,REPRODUCTION NI TOPIC NGUMU SANA,huyo ni.......,jembe la BIOLOGY baada ya NGIDA kutokuwa fresh kiafya.
Adavance namkumbuka MKANDAWILE-Chemistry,MAKUMAKU-Bios,BUSANJI-Physics..,hawa jamaa walisaidia wengi sana kutoka A-LEVEL.

 
Inanikumbusha mbali sana,toka primary kule mabibo/Mburahati (Ibunga,BR,MT,Dani),
O-level(Mchikichini,Ubungo,Mwenge-mapambano, nk.) na
Advance(Mkandawile,Makomako,Busanji,Mama Shija,Mtiga nk.),
kweli elimu ilikuwa inatafutwa na kupiganiwa kama vita,
siwezi kusahau Azaboy na ma-teacher wake kama(Kwayu,Mchwampaka,' Tokyo',Primsi 'mzee wa Permfects', mama Dathi,Hemedi, 'Mama Density', Msafiri), dah kweli mchumia juani hulia kivulini!
 
Mimi bahati mbaya natokea bara,tuition hazikuwa nyingi kiivyo.Mkandawile simjui hata kwa sura ila notice zake za organic chemistry zilinisaidia sana A-level(namkubali).Mama shija naye nilisikia story zake kwa washikaji pia namkubali.Zamani watu walikuwa wanasoma kweli siyo siku hizi za .com.Vijana badala ya kusoma muda wote facebook(no 1time waster).Vitabu vya physics navikubali University Physicrs,Roger muncaster(bei yake about laki moja now) ukisolve hivi vitabu physics banda I assure u.Maths pure1&2,Kinunda,Tranter(kipimo cha watabe ukiweza maswali ya huku we ni soo),engineering Maths the list goes on.Siku hizi kizazi hiki hakipendi kujisomea kina kula misele,usharobaro na kusahau siku moja wazazi wao wataacha kuwasidia na watatakiwa kujisaidia wenyewe.If you can read you can learn anything,huwa naumia sana nikisikia Maths bado ni tatizo wakati ni somo ambalo unaweza ukajihakikishia banda lako mapema.Nini kifanyike?Watanzania hatuna utaratibu wa kujitolea(volunteering),unaweza kujitolea kuwasaidia vijana shule ya jirani kwenu au mtaani kwenu i.e giving back to the society.
 
Kusema kweli mchikichin n mapambano imeplay role kubwa katika elimu yangu..nakumbuka mimi shuleni ilikua ni sehemu ya kuondoka msuli peke yangu maana walimu wenyewe ilikua hakuna kabisa...
Tatizo cku izi vijana kuuza sura kabisa..
Eg mapambano sawa maticha bado wanakata pindi lakin hao madent sasa alalala yan ni kuuza sura tu na kuoneshana new fashions..nakumbuka enz izo me naingia hata na yebo(ndala) pale, nenda nazo sasa iv yan utajishtukia mwenyewe na kuic kama uko nakd..
Juc a piece of advice 4 ma felow youth ot der, pigen kitabu mazee achen kuzingua bhana aje nyie...!!!!
 
...ebwana Mkuu umenikumbusha hom enzi ya AZABOY ya 1999/2002,chini ya Baba Kwayu,Mchwampaka,Mkongo,Msafiri mzee wa Kiswahili,etc..,ila wengineo enzi zile ninaowakumbuka ni OCTAVIAN JAVERTY,CHARLES MICHAEL,MARTIN NTABAJANA,ISMAIL''SUMA'',GIBONCE SIMULE,SHOMARI,ISAACK,ISSA MWIKALO,GIBONCE ANTHONY,ELZEUS MELCHIOR,etc..

1)''..let us end here at zis particular conjuncture,bkoz tm is aproachin at infinity,2moro we wil continue wiz ANGULAR MOTION..,huyo ni.........,jembe la PHYSICS!!!''
2)''..haaya,amunje amunje,akabraket,akamainaz kisha akaplas,huyo ni.........,jembe la NAMBA.''
3)''..madogo hebu acheni zenu,REPRODUCTION NI TOPIC NGUMU SANA,huyo ni.......,jembe la BIOLOGY baada ya NGIDA kutokuwa fresh kiafya.
Adavance namkumbuka MKANDAWILE-Chemistry,MAKUMAKU-Bios,BUSANJI-Physics..,hawa jamaa walisaidia wengi sana kutoka A-LEVEL.


dah iyo namba 1 kitu sir jerry yule mdogo wake mbuga pale pale mchikidown
 
Huko IRINGA alikuwepo MSELA(stanley di chaters)/stanley chatanda bingwa wa PCBM alikuwa ni noma.Kwa sasa nasikia ni daktari kule rufaa mbeya.
 
Mimi bahati mbaya natokea bara,tuition hazikuwa nyingi kiivyo.Mkandawile simjui hata kwa sura ila notice zake za organic chemistry zilinisaidia sana A-level(namkubali).Mama shija naye nilisikia story zake kwa washikaji pia namkubali.Zamani watu walikuwa wanasoma kweli siyo siku hizi za .com.Vijana badala ya kusoma muda wote facebook(no 1time waster).Vitabu vya physics navikubali University Physicrs,Roger muncaster(bei yake about laki moja now) ukisolve hivi vitabu physics banda I assure u.Maths pure1&2,Kinunda,Tranter(kipimo cha watabe ukiweza maswali ya huku we ni soo),engineering Maths the list goes on.Siku hizi kizazi hiki hakipendi kujisomea kina kula misele,usharobaro na kusahau siku moja wazazi wao wataacha kuwasidia na watatakiwa kujisaidia wenyewe.If you can read you can learn anything,huwa naumia sana nikisikia Maths bado ni tatizo wakati ni somo ambalo unaweza ukajihakikishia banda lako mapema.Nini kifanyike?Watanzania hatuna utaratibu wa kujitolea(volunteering),unaweza kujitolea kuwasaidia vijana shule ya jirani kwenu au mtaani kwenu i.e giving back to the society.

mwana bila shaka umesoma majengo au Old moshi uongo kweli?
 
Uongo.Umekosa jaribu tena.Angalia hivyo vitabu nilivyotaja ni kambi chache sana wanaweza kuvitumia vitabu hivyo.
 
Mbona sioni mwanafunzi wangu yeyote hapa niliyemfundisha pale HEKIMA UPLAND buguruni, I guess i can't pat myself on my shoulder for the job well done!!!
 
Inawezekana wako kijijini,internet hakuna.Ulipokuwa unawafundisha ulisahau kuwashauri wabaki mjini.
 
Mm nilikua napiga tuition moja pande za sinza inaitwa SOKWAMBI=Soma Kwa Mbinu. Nilikacha nakiete mana ilikua msongamo. Nilipiga na ya chang'ombe pia kwa mtaalam wa language. Ni kweli vijana wa sasa ni bongofleva tu.
Hapo changombe ni kwa ustadh shabban huyu jamaa ni noma kwa language mpaka sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom