Nkuba25
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,255
- 12,370
Hii ilitokea wakati Dimitri Medvedev ndiye Rais wa Russia.
Kama Putin angelikuwa Rais kipindi icho, angelifanya kama ambavyo anafanya Syria.
Na ndio maana Putin alitoka comment hii baada ya hiyo Resolution kupita
"Medvedev is responsible for foreign policy as president and that "there can be no division there".
Hata Chamov ambaye alikuwa Russian ambassador to Libya alituma Telegram Kremlin na kwenye hiyo Telegram alisema kuwa Medvedev ni Traitor.
Kama Putin angelikuwa Rais kipindi icho, angelifanya kama ambavyo anafanya Syria.
Na ndio maana Putin alitoka comment hii baada ya hiyo Resolution kupita
"Medvedev is responsible for foreign policy as president and that "there can be no division there".
Hata Chamov ambaye alikuwa Russian ambassador to Libya alituma Telegram Kremlin na kwenye hiyo Telegram alisema kuwa Medvedev ni Traitor.