Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kama mnakumbuka huko Visiwani wakati wa utawala wa aliyejiita Komandoo mara tu baada ya usajili wa vyama vingi polisi walimuua mfuasi mmoja wa CUF katika kijiji cha Shumba Mjini mapema June 1993 wakati mtu huyo akipandisha bendera ya chama chake katika tawi lililofunguliwa kijijini hapo.
Kama mtakumbuka OCD wa eneo hilo katika kujitetea alisema askari aliyefyatua risasi alilenga juu na risasi ikampiga marehemu wakati inarudi ardhini!
Kwa hiyo hawa polisi wa CCM wamezoea kuua katika shughuli za mikutano ya kisiasa mara tu baada ya firimbi ya vyama vingi kupulizwa.
In fact ni jadi yao.
Kama mtakumbuka OCD wa eneo hilo katika kujitetea alisema askari aliyefyatua risasi alilenga juu na risasi ikampiga marehemu wakati inarudi ardhini!
Kwa hiyo hawa polisi wa CCM wamezoea kuua katika shughuli za mikutano ya kisiasa mara tu baada ya firimbi ya vyama vingi kupulizwa.
In fact ni jadi yao.