md4doctor2000
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 736
- 315
Bush Party - Solid Ground Family Solid Groung Family Bushi Party - YouTube
Aisee heshima kwako, naomba na mimi nipate favor, niko Dar. Naweza kukupm namba yangu kama utakubali.
nikutumie namba ua email?
saleh jabir bado yupo?
ana pini yake moja alimshirikisha Q-chief, Sintobadilika
Hahahahhhh. Poa, ila ni kuanzia jumatatu next week.
Umeona eeh? Nyie mnawasifu akina Vanesa Mdee, Mwasiti, Dayna nk ilhali kuna akina Zay B, Sister P, Lady Lu, Dataz, V2, Stara, Dah Jo kutoka Kigamboni na wengineo walioitoa bongo fleva mbali kabisa kabla ya hapa ilipo! Acheni utani bana!Naweka reminder, hizi kitu ni muhimu sana kwa kumbu kumbu, make hawa watoto siku hizi wameharibu muziki kabisa. Tumebaki na watu wachache sana kama Fid Q.
Huo wimbo ni wa jamaa flani wanaitwa Waswahili, nao sijajua walipotelea wapi. Ninao, ukipigwa hata leo redioni utadhani umeimbwa jana. Walikuwa vichwa sana.
dah amri kumi ilikua ni hatari sana! Na kitu cha kosa la marehemu dada hakuvaa kondomu hakuvaa kondomu....ufwile mundu gwa kyala umelala nyumba ya giza bila kusita......ungelikua mwaminifu mwangalifu ungejijali lakini sasa tunakuchimbia futi sita tunakuzikaa
Uko vizuri kwenye hii nyanja mzee mwenzangu!!! Salute kwako
Umeona eeh? Nyie mnawasifu akina Vanesa Mdee, Mwasiti, Dayna nk ilhali kuna akina Zay B, Sister P, Lady Lu, Dataz, V2, Stara, Dah Jo kutoka Kigamboni na wengineo walioitoa bongo fleva mbali kabisa kabla ya hapa ilipo! Acheni utani bana!
pengo- waswahili, kosa la marehem hakuvaa condom, nje nje nje ndan- gangwe mob, nikupe nn mpenz, mandojo % domokaya