Hakika tabia ni sawa na rangi ya ngozi.
Hii hapa chini ni video ya tukio zima jinsi mtu alivyo tandikwa bakora.
Hivi huyu aliyepigwa bado yupo kwenye system ya kiutawala?View attachment 1920104
Yule Spika ni a little bit immature. I say this by way of observation,not by way of criticism.
I noticed it kule Moshi alipokuwa anaongea Kanisani katika maziko ya Reginald Mengi. Alikuwa anasema " huko katika Bunge,tunakutana na masaibu mengi,lakini tunavumilia."
Analazimisha sifa na umaarufu sana lkn bahati mbaya hawapendwi kabisaYule Spika ni a little bit immature. I say this by way of observation,not by way of criticism.
I noticed it kule Moshi alipokuwa anaongea Kanisani katika maziko ya Reginald Mengi. Alikuwa anasema " huko katika Bunge,tunakutana na masaibu mengi,lakini tunavumilia."
Hakika tabia ni sawa na rangi ya ngozi.
Hii hapa chini ni video ya tukio zima jinsi mtu alivyo tandikwa bakora.
Hivi huyu aliyepigwa bado yupo kwenye system ya kiutawala?
hatari sana
Ana faili Mirembe? We utasababisha Jamii Forums ifungwe.Uzuri ni kwamba tayari alisha sema kuwa ana faili mirembe
😅😅😅Uzuri ni kwamba tayari alisha sema kuwa ana faili mirembe
Usicheze na wafugaji hasa akiwa na silahaHakika tabia ni sawa na rangi ya ngozi.
Hii hapa chini ni video ya tukio zima jinsi mtu alivyo tandikwa bakora.
Hivi huyu aliyepigwa bado yupo kwenye system ya kiutawala?
View attachment 1920104
Mbona mimi ninafuga lakini sina hasira? hiyo ni tabia ya mtu mweneyewe bahna 🤣 🤣Usicheze na wafugaji hasa akiwa na silaha
kumbe ni mgomvi gomvi hivi!Hakika tabia ni sawa na rangi ya ngozi.
Hii hapa chini ni video ya tukio zima jinsi mtu alivyo tandikwa bakora.
Hivi huyu aliyepigwa bado yupo kwenye system ya kiutawala?
View attachment 1920104
Unafuga ila hauna ASILI ya wafugajiMbona mimi ninafuga lakini sina hasira? hiyo ni tabia ya mtu mweneyewe bahna