Ama hakika dunuani kuna mambo.
Mzee wetu Jecha alishindwa kabisa kujieleza mbele ya waandishi wa habari.
Hivi hili tatizo inawezekana likawa nini haswa?
Tafadhalini jamani mwenye uelewa atujulishe maana elimu haina mwisho.View attachment 1962823
Uzee ni dawa. Sasa huyu uzee wake ni sumuIna maana huyu hana sifa ya kuwepo kwenye kundi la wazee