Tujikumbushe mojawapo ya kazi za Eric Shigongo alizowahi kuifanyia CCM

msafwa93

JF-Expert Member
Jul 2, 2011
4,754
5,863
Baada Ya Kuona malalamiko ya Shigongo Jana Nikarudisha kumbukumbu nyuma nakupekua vitu kadhaa nikakutana na Na Moja Ya Kazi Hizo anazodai kukifanyia Chama Cha Mapinduzi..

Mimi ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Lakini Hakuna kitu sipendi kama kuwagawanyisha/Kuwachonganisha Watu kwa kutumia Udini..

Je Kwa Kazi Hii Anastahili Kulipwa.? AU kuna kazi nyingine tofauti na hii..

23fc53b3c0c80d1348ddb23001b1396a.jpg
 
Kweli kutuaminisha kote kule kuwa umetoka familia masikini na umepambana kumbe ndo upambanaji huu acha tuisome namba wote.
Tunashukuru wengine tulikusikiliza bila kujua nyuma yako nani yupo leo sisi tunacheka hatuna mali ipo benki
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom