muuza ugoro
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 334
- 59
Mficha uchi hazai!
Mficha uchi hazai!
Niaje Great thinkers? Munaonaje tukajikumbusha methali, nahau n.k coz nina hofu zinaanza kutoweka gradually!
Kwa kuanzia natoa methali híi:
Kombe la mungu liwazi.
Nasubiri majibu wakuu!
Then, kama unazo basi lets share.
Mficha uchi hazai!
Hicho mkuu ni kitendawili jawabu lake KISIMA
Lakini muuza ugoro nafikiri ukitoa msamiati usimalize ili mdau ajibu
Mfano Mficha uchi.....? baadae jawabu HAZAI.
Sasa na mimi natuma vya kwangu
Kitendawili..?
1. kuku wangu kalalia mibani? ......
Methali:
Mwenda tezi na omo?..............
Ikiwa hujui kufa tazama kaburi!
Ng'ombe wa masikini hazai,hakizaa dume tena dume lenyewe shoga!
tumbi tumbi...............
mm nyumba ya udongo......Basi utakuwa wakale.................
chanda chema..........Ndiyo huwa chandaruwa..............
tumbi tumbi...............
mm nyumba ya udongo.......................
chanda chema........................