MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 275
- 372
Bila kupepesa macho haya ndio niliyo yashuhudia ktk uongozi Wa awamu ya NNE(4) ya bwana canal.Dr.Mrisho Jakaya Kikwete.
1. Shule za kata(secondary) nchi nzima
2. Ujenzi Wa airport terminal 3
3. Usafiri wa magari ya mwendo kasi (Udart)
4 .Ajira nyingi hasa vyombo vya ulinzi na usalama "haijawah kutokea hii" sect hizo kuajir watu wengi tangu Uhuru
5. Chuo kikuu Dodoma
6. Bomba LA Gesi Mtwara
7. Chuo cha kijesh RTS Msata
8. Hospital ya Mloganzila na chuo chake
9.Daraja LA kigamboni
10.Umeme Wa REA nchi nzima
11. ONGEZA ZAKO
UZI TAYARI.
1. Shule za kata(secondary) nchi nzima
2. Ujenzi Wa airport terminal 3
3. Usafiri wa magari ya mwendo kasi (Udart)
4 .Ajira nyingi hasa vyombo vya ulinzi na usalama "haijawah kutokea hii" sect hizo kuajir watu wengi tangu Uhuru
5. Chuo kikuu Dodoma
6. Bomba LA Gesi Mtwara
7. Chuo cha kijesh RTS Msata
8. Hospital ya Mloganzila na chuo chake
9.Daraja LA kigamboni
10.Umeme Wa REA nchi nzima
11. ONGEZA ZAKO
UZI TAYARI.