MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
Ndugu zangu wanajamvi, kwa yanayoendelea ndani ya CHADEMA, great thinkers hatuna budi kufikiri nje box kwa kujaribu kutafuta yaliyofichika ambayo pengine kwa kutoyatengea muda wa kuyachanganua tunaweza kujikuta tunakuwa bendera fuata upepo na wapiga mbiu wa maovu ya Watu flani flani ambao wameujua udhaifu wetu na wanautumia barabara.
Hebu tuorodheshe matukio ya vifo, kuugua ghafla na madhila mengine ambayo yamewapata viongozi/wanachadema, kisha tuchambue mazingira ya matukio hayo ili tupate kubaini hayo yaliyofichika ndani ya CHADEMA.
Mimi naanza na haya maswali ya uchokozi kwa baadhi tu ya matukio kisha niwaachie great thinkers myachambue:
1. Ni uhusiano gani uliokuwepo kati ya tukio la ajali ya gari iliyogharimu maisha ya Chacha Wangwe na Vita ya Uenyekiti wa CHADEMA taifa uliokuwepo Kati ya Freeman Mbowe na Chacha Wangwe?
2. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la kuugua ghafla tumbo Mbunge wa Tarime, John Heche wakati wa bunge la bajeti 2017 na vita ya Uenyekiti kati yake na Mbowe?
3. Ni uhusiano gani uliopo Kati ya kifo cha Ndesapesa na kulegalega kwa mahusiano kati ya familia ya Ndesa na Mbowe?
4. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la kupotea kwa Ben Saanane na kile kinachodaiwa kulegalega kwa imani ya Mbowe kwa Ben siku za mwishoni kabla Ben hajapotea?
5. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na kile kinachosemwasemwa kuwa ni vita ya Uenyekiti iliyopo kwa sasa kati ya Mbowe na Lissu? Vipi kuhusu madai yanayotajwatajwa kuwa Lissu alijianzishia mtandao uitwao "Kizazi cha Kuhoji " ili kujijenga kisiasa ndani ya chama hivyo kumuudhi Mbowe?
Karibuni tujadiliane kwa hoja.
Hebu tuorodheshe matukio ya vifo, kuugua ghafla na madhila mengine ambayo yamewapata viongozi/wanachadema, kisha tuchambue mazingira ya matukio hayo ili tupate kubaini hayo yaliyofichika ndani ya CHADEMA.
Mimi naanza na haya maswali ya uchokozi kwa baadhi tu ya matukio kisha niwaachie great thinkers myachambue:
1. Ni uhusiano gani uliokuwepo kati ya tukio la ajali ya gari iliyogharimu maisha ya Chacha Wangwe na Vita ya Uenyekiti wa CHADEMA taifa uliokuwepo Kati ya Freeman Mbowe na Chacha Wangwe?
2. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la kuugua ghafla tumbo Mbunge wa Tarime, John Heche wakati wa bunge la bajeti 2017 na vita ya Uenyekiti kati yake na Mbowe?
3. Ni uhusiano gani uliopo Kati ya kifo cha Ndesapesa na kulegalega kwa mahusiano kati ya familia ya Ndesa na Mbowe?
4. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la kupotea kwa Ben Saanane na kile kinachodaiwa kulegalega kwa imani ya Mbowe kwa Ben siku za mwishoni kabla Ben hajapotea?
5. Ni uhusiano gani uliopo kati ya tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na kile kinachosemwasemwa kuwa ni vita ya Uenyekiti iliyopo kwa sasa kati ya Mbowe na Lissu? Vipi kuhusu madai yanayotajwatajwa kuwa Lissu alijianzishia mtandao uitwao "Kizazi cha Kuhoji " ili kujijenga kisiasa ndani ya chama hivyo kumuudhi Mbowe?
Karibuni tujadiliane kwa hoja.