Ahsante, nilishapoa...maisha popote !Pole sana kiongozi
Huyu jamaa sijui bado kuna mkono unamlinda, kuna watu wengi wakubwa tu aliwasumbua sana alivyowekwa pembeni ilikuwa suala la muda mahakama ya mtaa ingetoa hukumu yake kwa sasa anakula pensheni na vinono tu🍗🍔🍟🌭Ndiyo maana watu wanamuombea mabaya