mkuu kama unanyimbo ya voice wonder- hajazaa ...naomba unipatieADili - Peke yangu
mkuu kama unanyimbo ya voice wonder- hajazaa ...naomba unipatieADili - Peke yangu
Mkuu soma uzi vizuriKosa la marehemu
H Kizzo feat Dully Sykes ~ birthday ya HK (aliyenayo anitupie)
Kosa la marehemu baba hakuvaa kondomu.....Uswahilini Matola - kosa la Marehemu
Kwahiyo mnashinda wote facebookDr.levy alikuwa anachora katuni ya baba ubaya kwenye gazeti la kiu.
alitoa ngoma moja tu Kura yangu ilikuwa kali mno....Kutoka pale akawa anafanya collabo tu alipiga collabo ya "Una" ngoma ya Professor Jay na Ngwea.
na alipiga collabo ya ngoma ya "Uwanja mpya" ya Afande sele.Siku hizi anashinda Facebook tu.
Hapana hakushiriki kweny hiyo ngoma ya 'una' mule wameimba prof j, ngwea na black rhinoKwahiyo mnashinda wote facebook
Ndio mimi hapa, nimeachana na muzikiAlly b- hanifa
Wimbo ulikuwa hanifa kwenye chorus kama sikosei " hanifa hanifa kitu nimekosa, kama nimekukosea naomba unisameheee"Ndio mimi hapa, nimeachana na muziki
Ally B = Ally Bakari
Nakukubali. Naijua hiyo nyimbo nadhani me ndio niliitaja hapa. Kazi yako hii naikubali mpaka keshoNdio mimi hapa, nimeachana na muziki
Ally B = Ally Bakari
Mkuu sorry sana sio mimi nilieimba huo wimbo but nilikuwa naukubali sana kipindi hicho.samahani mkuu, I was jokingNakukubali. Naijua hiyo nyimbo nadhani me ndio niliitaja hapa. Kazi yako hii naikubali mpaka kesho
ZOLA D-moto wa tipa
Zola D ana Good Life, I dont Care, Niite Unde n.kCHINDO MAN-nawaza
pamoja mzee babaMkuu sorry sana sio mimi nilieimba huo wimbo but nilikuwa naukubali sana kipindi hicho.samahani mkuu, I was joking
Roho 7 ana nyimbo nyingine ila nw ni mjeshi tena ni captain wa jeshi awezi fanya mziki tenaRoho 7...Naipenda Hip Hop + Waite police