Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,092
Ni ukweli ulio wazi kwa nchi za Afrika ya Mashariki, hakuna nchi inayopenda mpira kama Tanzania. Ndio maana kumekuwa na lindi kubwa la wachezaji na makocha wa kigeni kuja kwenye soka la Tanzania. Wengine wakifika Bongo hawatamani hata kurudi makwao.
Leo tuwakumbuke makocha wa kigeni ambao waliwahi kufundisha soka hapa Tanzania, hii itasaidia kuwajuza mashabiki wapya ambao wengine wameanza kufatilia soka kupitia Azam tv.
Me naanza;
• Jack Chamangwana alifundisha Yanga
• James Aggrey Siang'a alifundisha kwa mabingwa wa nchi
Karibu uendeleee...
Leo tuwakumbuke makocha wa kigeni ambao waliwahi kufundisha soka hapa Tanzania, hii itasaidia kuwajuza mashabiki wapya ambao wengine wameanza kufatilia soka kupitia Azam tv.
Me naanza;
• Jack Chamangwana alifundisha Yanga
• James Aggrey Siang'a alifundisha kwa mabingwa wa nchi
Karibu uendeleee...