Mashiku, Serengeti, Tanganyika bus na Farai couch kwa safari za Mwanza-Musoma miaka ya 90.
Kitu Tunyande na kiswele dar-mby
Kitmeer (safari na muziki)
Mkuu hiyo gari ilizama wkt tayari basi zinasafiri mchana.Ilikuwa ajali ya basi la Safina lilikuwa linapiga Dar Dom liligongana na lori Waziri Mkuu wa wkt huo Johm Malechela akapiga marufuku safari za usiku