FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,045
- 40,705
Vyovyote iwavyo, kukopa trilioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila idhini ya bunge ni jambo lisilo kubalika, na hili lazima liondoke na mtu!
Angalia hizo alama alizoweka, ni quotation ya Ndugai mwenyewe akimsema Zitto bungeni.Mpuuzi tu hana maana yeyote mnamkuza kama mlivyo kuwa mnamkuza membe wakati hana lolote.
Unaweza kuthibitisha au n bangiVyovyote iwavyo, kukopa trilioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila idhini ya bunge ni jambo lisilo kubalika, na hili lazima liondoke na mtu!
Kichefu chefu kweli huyu ndungai, kubwa jinga hasaSiwezi kufurahia anguko la huyu Mzee lakini nafurahia ni haki inafanyika na ubaya urudi ubayani.
Ni Spika ambaye hakuheshimu katiba hata kidogo, alijifanya yeye ndio katiba.
Halafu mwishoni akataka tumia haki ya kikatiba aliyoikanyaga na akidhani sasa nayo katiba itamwokoa.
Ibaki wazi ndio Spika mbovu tangia Uhuru.
Miaka mitano imemtosha.
Kwaheri Job Ndugai.
Kwahiyo hatutaona makamera ya kujiuzulu?!
Muda bwana ni kitu kinginekabisaa hakuna wakukuzuia wala kuku hoji.
Nguvu yake, ambayo nayo ilikua ni ndogo, ilikua ni wakati ule akiwa kwenye "KITI", sasahivi yuko nje ya kiti, hayo mapigo unayosubiri utasubiri sana.Hahaaa nasubiria mapigo JN nakuaminia
Unataka nikudhibitishie kwamba deni la taifa limekuwa kwa trillion 10 ndani miezi 9? Nenda BOT ukapate udhibitishoUnaweza kuthibitisha au n bangi