ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Mdau mmoja wa JF alishazileta hizi - na mimi nimeamua kuwakumbusha tena na tena napenda hizi ziwe kama sara zenu asubuhi na jioni. Mtafanya hivi kuokoa kizazi chenu. JK ameshindwa kutekeleza haya yote sasa hakuna sababu za msingi za kumpa kura yako. Nimeileta leo Ijumaa ili Weekend hii mtafakari ninyi na familia zetu. Kuchagua CCM ni sawa na kuamua kuuza familia kwa walaghai.
1. Chini ya uongozi wake uchumi umeshuka na thamani ya shilingi dhidi ya dola imezidi kuporomoka zaidi
2. Ameshindwa kuboresha maisha ya mtanzania wa kawaida (tofauti na kauli mbiu yake maisha bora kwa kila mtanzania. Amepiga kelele ya KILIMO KWANZA huku tunaona dhahiri hana nia yoyote kukuza kilimo! Ni msaliti
3. Ameshindwa kuboresha miundombinu (barabara etc)
4. Chini ya uongozi wake, amefanya uteuzi wa aibu kwa Mkurugenzi wa ATC ambaye ni mshikaji wake, matokeo yake ameua kabisa ATC Tanzania (kama nchi) inashindwa hata na mfanyabiashara binafsi anayendesha Precision Air kwa mafanikio
5. Akiwa rais wa Tanzania ameshindwa kusimama imara kutetea maslahi ya nchi dhidi ya wizi wa mali ya umma na kashfa ya mabilioni ya shilingi ya Richmond...JE NAYE ALIHUSIKA? PCB NA USALAMA MNAJUA WENYEWE...ENDELEENI KULINDA MASLAHI YENU!!
6. Yeye kama kiongozi wa Nchi amewakebehi hadharani wafanyakazi wa Tanzania na viongozi wao pale TUCTA ilipotaka kuitisha mgomo. Yeye kama kiongozi mkuu wa nchi hakuwa na taarifa sahihi kutoka kwa watendaji wake, akawanawa viongozi wa wafanyakazi mbele ya wazee wa CCM, cha ajabu yeye ndiye alikuwa hana taarifa sahihi! Kama kiongozi alitakiwa kuwajibika mara moja. URAIS NA USWAHILI WAPI KWA WAPI?
7. Katika kipindi chake cha uongozi amefanya uteuzi wa viongozi wasiokuwa na uwezo, wakiwemo baadhi ya mawaziri (washkaji) ambao wamekuwa wakiweka mbele maslahi binafsi na kutojali wananchi.
8. Katika kipindi chake cha uongozi RUSHWA IMEONGEZEKA na hakuna hatua madhubuti alizochukua zaidi ya kuwa msemaji saaaaana bila vitendo.
9. Katika kipindi chake cha uongozi matimizi mabaya ya fedha katika manunuzi ya magari ya kifahari na fanicha kwa viongozi wa serikali, wakiwemo wakuu wa mikoa, mawaziri na yeye mwenyewe AKIONGOZA UOZA HUO KWA KUNUNUA BMW X-5 kwa matumizi yake.
10. Ni kiongozi aliyesafiri mara nyingi zaidi ya waliomtangulia (katika awamu ya kwanza ya uongozi wao), safari hizi zimetumia mabilioni ya feadha za watanzania lakini hakuna faida tunayoiona kutokana na safari zake
11. KAGODA anamjua lakini kwa sababu zake mwenyewe kashindwa kumshughulikia ingawa katiba imempa marungu yote.
12. Mwisho hataki KURA za wafanyakazi, sasa kwa nini tujikombe kwake?
ANGALIZO:
Tunataka kiongozi atakayejali maslahi ya wananchi wake, kuwatetea na kulinda raslimali za taifa.
TUUNGANE KUSEMA NO KWA KIKWETE.
1. Chini ya uongozi wake uchumi umeshuka na thamani ya shilingi dhidi ya dola imezidi kuporomoka zaidi
2. Ameshindwa kuboresha maisha ya mtanzania wa kawaida (tofauti na kauli mbiu yake maisha bora kwa kila mtanzania. Amepiga kelele ya KILIMO KWANZA huku tunaona dhahiri hana nia yoyote kukuza kilimo! Ni msaliti
3. Ameshindwa kuboresha miundombinu (barabara etc)
4. Chini ya uongozi wake, amefanya uteuzi wa aibu kwa Mkurugenzi wa ATC ambaye ni mshikaji wake, matokeo yake ameua kabisa ATC Tanzania (kama nchi) inashindwa hata na mfanyabiashara binafsi anayendesha Precision Air kwa mafanikio
5. Akiwa rais wa Tanzania ameshindwa kusimama imara kutetea maslahi ya nchi dhidi ya wizi wa mali ya umma na kashfa ya mabilioni ya shilingi ya Richmond...JE NAYE ALIHUSIKA? PCB NA USALAMA MNAJUA WENYEWE...ENDELEENI KULINDA MASLAHI YENU!!
6. Yeye kama kiongozi wa Nchi amewakebehi hadharani wafanyakazi wa Tanzania na viongozi wao pale TUCTA ilipotaka kuitisha mgomo. Yeye kama kiongozi mkuu wa nchi hakuwa na taarifa sahihi kutoka kwa watendaji wake, akawanawa viongozi wa wafanyakazi mbele ya wazee wa CCM, cha ajabu yeye ndiye alikuwa hana taarifa sahihi! Kama kiongozi alitakiwa kuwajibika mara moja. URAIS NA USWAHILI WAPI KWA WAPI?
7. Katika kipindi chake cha uongozi amefanya uteuzi wa viongozi wasiokuwa na uwezo, wakiwemo baadhi ya mawaziri (washkaji) ambao wamekuwa wakiweka mbele maslahi binafsi na kutojali wananchi.
8. Katika kipindi chake cha uongozi RUSHWA IMEONGEZEKA na hakuna hatua madhubuti alizochukua zaidi ya kuwa msemaji saaaaana bila vitendo.
9. Katika kipindi chake cha uongozi matimizi mabaya ya fedha katika manunuzi ya magari ya kifahari na fanicha kwa viongozi wa serikali, wakiwemo wakuu wa mikoa, mawaziri na yeye mwenyewe AKIONGOZA UOZA HUO KWA KUNUNUA BMW X-5 kwa matumizi yake.
10. Ni kiongozi aliyesafiri mara nyingi zaidi ya waliomtangulia (katika awamu ya kwanza ya uongozi wao), safari hizi zimetumia mabilioni ya feadha za watanzania lakini hakuna faida tunayoiona kutokana na safari zake
11. KAGODA anamjua lakini kwa sababu zake mwenyewe kashindwa kumshughulikia ingawa katiba imempa marungu yote.
12. Mwisho hataki KURA za wafanyakazi, sasa kwa nini tujikombe kwake?
ANGALIZO:
Tunataka kiongozi atakayejali maslahi ya wananchi wake, kuwatetea na kulinda raslimali za taifa.
TUUNGANE KUSEMA NO KWA KIKWETE.