Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,091
Siku hiyo mheshimiwa Raisi aliapa yafuatayo:
1. Kuongoza kwa mujibu wa Katiba, sheria, Tamaduni na Jadi za Mtanzania
2. Kutenda bila Huba, chuki wala upendeleo
3.Akamtaja Mungu, akamuomba Amsaidie
Siku hiyo pia:
Viongozi wa Dini, akiwemo Shekhe Mkuu na Kadinali Pengo walimsomea dua nzitonzito ambazo Mwenyezi Mungu na Malaika wake walikuwa wakishuhudia katika kipande hiki cha dunia kilichokuwa kikiendelea, Walisikia Rais akiahidi kuwa atatawala kwa haki na kwa kufuata katiba na sheria
Ni dhahiri basi kuwa kama atavunja kiapo chake , Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye:
Hiki ndo kiapo alichokula raisi Magufuli huku akimtaja Mungu
1. Kuongoza kwa mujibu wa Katiba, sheria, Tamaduni na Jadi za Mtanzania
2. Kutenda bila Huba, chuki wala upendeleo
3.Akamtaja Mungu, akamuomba Amsaidie
Siku hiyo pia:
Viongozi wa Dini, akiwemo Shekhe Mkuu na Kadinali Pengo walimsomea dua nzitonzito ambazo Mwenyezi Mungu na Malaika wake walikuwa wakishuhudia katika kipande hiki cha dunia kilichokuwa kikiendelea, Walisikia Rais akiahidi kuwa atatawala kwa haki na kwa kufuata katiba na sheria
Ni dhahiri basi kuwa kama atavunja kiapo chake , Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye:
Hiki ndo kiapo alichokula raisi Magufuli huku akimtaja Mungu