Dunda kwetu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 265
- 37
[h=2][/h]
Wana JF hapa tulipo mda si mrefu 2011 gudii bayy itakuwa sio mbaya ukajumuika nami kwa kutuabarisha mjadala upi ulio faidika kwa namna moja au nyengine a.k.a uligusa hisia na kuelimika na nani alichangia kwa umakini zaidi sina maana wengine waliochangia hawakuwa makini
1.Jua haki yako unapokamatwa na Polisi,Mjadala ulirushwa na Dada Bikra
na mwana haki alichangia vizuri sanaoa
2.Anti Lizzy alirusha mjadala ulikwenda kwa jina la Zawadi na wengi kuujadili
3.Misemo katika magari na ilpeperushwa na Mnyamahodzo,,Utakura ulipopeleka mboga by JAYJAY NA Domhome alikuja na ngoma kapewa kenge maji timbwilitimbwili
Je wewe una mjadala wowote uligonga kichwa
1.Jua haki yako unapokamatwa na Polisi,Mjadala ulirushwa na Dada Bikra
na mwana haki alichangia vizuri sanaoa
2.Anti Lizzy alirusha mjadala ulikwenda kwa jina la Zawadi na wengi kuujadili
3.Misemo katika magari na ilpeperushwa na Mnyamahodzo,,Utakura ulipopeleka mboga by JAYJAY NA Domhome alikuja na ngoma kapewa kenge maji timbwilitimbwili
Je wewe una mjadala wowote uligonga kichwa