unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Mwendawazimu peke yake ndiye hawezi kuona umhimu wa katiba mpya, watu kama akina shivj na kabudi niwa kupuuzwa Sana.
Mateso ya jasho na damu tuliyo pitia awamu ya tano ni kipimo tosha kuwa tuna ulazima wa katiba mpya kwa mstakabali wa Tanzania yetu
Mateso gani mkuu. Wewe na Nani? Ni Wale kumi waliofanya sherehe au mamilioni waliolia na kusaga meno?