Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Toka mwanzoni kabisa huyo babu alionekana kabisa kuwa yuko zaidi ki-jasiriamali.
Hapa namaanisha huyo babu alikuwa mfanyabiashara wa kawaida tu aliyebuni biashara ya kuuza 'juice' ya mizizi, na kudai kuwa ni 'dawa' ya magonjwa sugu ('dawa' aliyooteshwa na mungu !).
Kilichonishangaza mimi ni kuwa watu wengi sana (wasomi na wasio wasomi) walimuamini kupita kiasi, bila ya kujiuliza maswali madogo tu.
Sasa hivi huyo babu na watoa 'kikombe' woote hasikiki tena. Babu kishajichumia shs. billion zake kadhaa, katulia kimya......
Serikali na wale woote waliokuwa wanautetea kuwa anatibu kwa nguvu za mungu, hawaonekani kabisa....Maana nakumbuka vichwa vya habari kwenye magazeti megi vikisema:- "dawa ya babu salama..", "babu's kikombe gets intial nod..", nk.
Nawahurumia sana waliokunywa hiyo 'dawa'. Wajiulize maswali yafuatayo:-
Watanzania tujifunze na tusikubali kudanganyika next time.
Hapa namaanisha huyo babu alikuwa mfanyabiashara wa kawaida tu aliyebuni biashara ya kuuza 'juice' ya mizizi, na kudai kuwa ni 'dawa' ya magonjwa sugu ('dawa' aliyooteshwa na mungu !).
Kilichonishangaza mimi ni kuwa watu wengi sana (wasomi na wasio wasomi) walimuamini kupita kiasi, bila ya kujiuliza maswali madogo tu.
- Babu alidai anatibu kwa nguvu za mungu (ila hakutaja mungu gani !!!)
- Babu alikuwa anafanya maombi kabla ya kuanza kugawa 'dawa' yake (hakuwahi kusema anamuomba mungu gani !!!)
- Watu waliotumia 'dawa' yake wakaaanza kupata matatizo zaidi na kufa (akaingiza swala la imani baada ya kuona wagonjwa hawaponi !!!)
- Babu akasema 'dawa' yake inafanya kazi ikitumika ndani ya eneo la Loliondo tu !! (watu bado hawakushtukia dili !!)
- Babu akasema mtu aliruka foleni na kunywa 'dawa', 'dawa' haitafanya kazi !!! (watu bado wakushtuka kuwa wanaingizwa mjini !!!)
- Kila kona ya nchi yetu kukazuka watu wanaotibu kwa 'kikombe' !!! (watu bado hawakushtukia utapeli !!!)
Sasa hivi huyo babu na watoa 'kikombe' woote hasikiki tena. Babu kishajichumia shs. billion zake kadhaa, katulia kimya......
Serikali na wale woote waliokuwa wanautetea kuwa anatibu kwa nguvu za mungu, hawaonekani kabisa....Maana nakumbuka vichwa vya habari kwenye magazeti megi vikisema:- "dawa ya babu salama..", "babu's kikombe gets intial nod..", nk.
Nawahurumia sana waliokunywa hiyo 'dawa'. Wajiulize maswali yafuatayo:-
- Walikunywa nini? ('dawa', juice, sumu, ....)??
- Side-effect za hicho walichokunywa ni nini? (especially long term side-effects)
- Kama hiyo 'dawa' ilikuwa kweli ni dawa, mbona imeishia ghafla (au wagonjwa wameisha)?
Watanzania tujifunze na tusikubali kudanganyika next time.