Kuna watu kipindi cha uchaguzi ukiwaambia umuhimu wa kupiga kura huwa wanajibu hivi "kura yangu moja itasaidia nini, haiwezi kusaidia chochote".
Ndiyo haya mambo sasa!!!!
alikua anadhani fedha zinachotwa tu bila kutafutwa/kuzalishwa? mwenzake alitoa mikopo na hakukata hizo asilimia 15 yeye pamoja na kuzikata bado mikopo shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.