Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Tuwekee na ahadi za Mwanachadema!
Hizi ni enzi ya Azimio la ArushaHuu ndio ulikua msingi wa siasa zetu na maisha yetu kiujumla. Lakink wanasiasa wenye uroho wa madaraka wamepindua misingi yote tuliyojiwekea.
Wadau
Tujikumbushe kidogo ahadi kuu za Mwana CCM
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2. Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko
3. Rushwa ni adui wa haki sitapokea wala kutoa rushwa.
4.Daima nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.
5.Cheo ni dhamana sitakitumia cheo change au cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yangu.
7. Nitakuwa mtiifu na mwaminifu kwa Rais wa Tanzania.
8. Nitakuwa mwanachama mwaminifu kwa chama changu, raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Karibuni