Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,035
- 23,881
Wakuu baada ya kigwangallah siku ya leo kuwashukia vijana wajiajiri.. kupitia maneno yake haya;
“Ondoa wazo la kuajiriwa, fikiria zaidi kutumia elimu yako, connections zako, shida/changamoto za jamii na fursa zilizopo kwenye mazingira yako kusaka maisha bora zaidi, hautokwama hapo! ondoa kirusi cha kuajiriwa kabisa, futa, futa hadi kwenye ‘deleted folder’”- Waziri Hamisi Kigwangalla
Naomba niwakumbushie ahadi zake alizotoa mwaka 2015 wakati akitafuta ridhaa ndani ya chama chake.
Ahadi zake zenyewe ni hizi hapa chini kwenye picha;
“Ondoa wazo la kuajiriwa, fikiria zaidi kutumia elimu yako, connections zako, shida/changamoto za jamii na fursa zilizopo kwenye mazingira yako kusaka maisha bora zaidi, hautokwama hapo! ondoa kirusi cha kuajiriwa kabisa, futa, futa hadi kwenye ‘deleted folder’”- Waziri Hamisi Kigwangalla
Naomba niwakumbushie ahadi zake alizotoa mwaka 2015 wakati akitafuta ridhaa ndani ya chama chake.
Ahadi zake zenyewe ni hizi hapa chini kwenye picha;