Mwaka 2010 mgombea wa CCM,licha ya ahadi zilizokuwa katika Ilani yake ya CCM, JK aliahidi mambo mengi kwangu mimi huku Ludewa katika Ziwa Nyasa JK alituahidi Meli lakini mpaka uwezekano wa kupata meli ni kama mbingu na Nchi. Vilevile Gzeti la Mwananchi liliripoti kila ahadi iliyotolewa . WANA JF naleta kwenu ili tujikumbushe ahadi za JK(CCM) na utekelezaji wake akiwa anakaribia nusu ya uongozi wake?
KARIBUNI
KARIBUNI