Mambo vipi wana JF.Mnakumbuka mavazi ya miaka hiyo?. Miaka hiyo ukiona pikipiki ujue ni ya bwana shamba.
Enzi hizo simu hakuna ukiwa masomoni lazima uandike barua, ukitumiwa fedha kwa posta(TMO)kuichukua mpaka uombe ruhusa. Namengine mengi nikumbusheni jamani.
Enzi hizo simu hakuna ukiwa masomoni lazima uandike barua, ukitumiwa fedha kwa posta(TMO)kuichukua mpaka uombe ruhusa. Namengine mengi nikumbusheni jamani.