M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Juzi kuna jamaa yangu mmoja amerudi kutoka ughaibuni,kama ujuavyo mtu atokae huko huja na stori nyiiiingi, basi jana jioni akawa ananisimulia kisa cha jamaa mmoja ambaye alipelekwa huko na mama mmoja wa kizungu ambae alikuja Bongo kama mtalii, si mnajua tena baadhi ya vijana wa Bongo wanavyopenda kushobokea wazungu, walikutana mwenge pale kwenye vinyago, jamaa akawa anazunguka na yule mama sehemu zote alizotaka kutalii, basi mtoto wa kimatumbi akarusha ndoano akamnasa mzungu wa watu na gemu la kibongo likamchanganya kiasi cha kufanya mpango akaondoka nae. Walipofika huko jamaa akageuzwa kama mdoli wa ngono, akawa anafungiwa ndani tu kazi yake ni kugawa mtarimbo,kibaya zaidi yule mama akawa anawaleta na rafiki zake nao wahudumiwe na kijana sometimes wote kwa pamoja, yule kijana yalipomshinda akatoroka ndipo akapewa hifadhi na huyo jamaa yangu na sasa anazichanga apate nauli ya kurudia Bongo...Tujihadhari jamani na kupenda maisha ya artificial.