Kram Billz
Member
- Dec 1, 2012
- 75
- 59
Kumekuwa na ushindani mkubwa kwa miaka ya sasa hivi katika utengenezaji wa softwares ambazo hutumika katika music production. Ilikuwa kazi sana katika miaka kadhaa ya nyuma kwa mtu aliyetaka kuwa music producer kutokana na alitakiwa kujifunza na kumiliki vifaa vingi ambavyo gharama yake ni kubwa kidogo so wengi wao waliishia kutamani tu pasipo kujifunza.
Lakini kutokana na mabadiliko ya teknolojia siku hadi siku watu wanagundua njia rahisi ambayo inaweza kumsaidia mtu kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja japokuwa anaweza kutokuwa na baadhi ya vifaa.
Softwares nyingi sana siku hizi ambazo watu huzitumia katika audio production kulingana na matakwa na uwezo wa mtu binafsi. Leo nitazungumzia baadhi ya softwares faida na hasara zake ambazo wewe kama ungependa kujifunza audio production waweza kuchagua ikufaayo.
Tunaanza na Fruity Loops (FL Studio). Faida zake ni kupatikana kwa urahisi na hukupa life time updates, rahisi kutumia, unaweza kutumia bila ya midi instruments, waweza load instruments nyingi uwezavyo,haihitaji system specifications kubwa mfano ram hata 512mb inatosha. Zipo faida nyingi ila hizo ni baadhi.
Tuje kwenye hasara haina auto saving project ambapo itakupa tabu wakati ikitokea imekorofisha kwa muda ile project yako huwezi kuikuta, inahitaji umakini wa hali ya juu wakati wa mixing na mastering wa nyimbo yako, haina time stretching nzuri kama softwares nyingine nk.
Software nyingine ni Cubase. Faida zake ni inakuwezesha kurecord multi tracks kwa muda mmoja, ina time stretching nzur ambayo inakupa option ya kuchagua jinsi utakavyo, inafanya mixing and mastering kwa ubora zaid nk. Hasara zake ni original setup yake mfano cubase 5.1 ni kubwa sana 6 GB, inahitaji system specifications kubwa, ni ngumu kutumia kwa mtumiaji wa mara kwanza, inahitaj midi instruments, pia sound card kwa ajili ya high quality sound nk.
Software nyingine ni Reason, Ableton live. Faida zake na hasara ni zile zile kama za cubase hazina tofauti sana.
Logic Pro X hii ni special kwa ajili ya Mac OS haipo kwenye Windows na hii ni moja ya hasara zake. Faida zake ni ina load instruments haraka zaidi kutokana na uwezo mkubwa wa computer aina ya Mac, mixing na mastering zinakuwa na ubora mzuri kutokana na built in plugins zake zenye ubora.
Hizo ni baadhi ya softwares za audio production ambazo unaweza kuchagua ikufaayo na kuanza kujifunza leo.
Nakaribisha michango yenu
Lakini kutokana na mabadiliko ya teknolojia siku hadi siku watu wanagundua njia rahisi ambayo inaweza kumsaidia mtu kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja japokuwa anaweza kutokuwa na baadhi ya vifaa.
Softwares nyingi sana siku hizi ambazo watu huzitumia katika audio production kulingana na matakwa na uwezo wa mtu binafsi. Leo nitazungumzia baadhi ya softwares faida na hasara zake ambazo wewe kama ungependa kujifunza audio production waweza kuchagua ikufaayo.
Tunaanza na Fruity Loops (FL Studio). Faida zake ni kupatikana kwa urahisi na hukupa life time updates, rahisi kutumia, unaweza kutumia bila ya midi instruments, waweza load instruments nyingi uwezavyo,haihitaji system specifications kubwa mfano ram hata 512mb inatosha. Zipo faida nyingi ila hizo ni baadhi.
Tuje kwenye hasara haina auto saving project ambapo itakupa tabu wakati ikitokea imekorofisha kwa muda ile project yako huwezi kuikuta, inahitaji umakini wa hali ya juu wakati wa mixing na mastering wa nyimbo yako, haina time stretching nzuri kama softwares nyingine nk.
Software nyingine ni Cubase. Faida zake ni inakuwezesha kurecord multi tracks kwa muda mmoja, ina time stretching nzur ambayo inakupa option ya kuchagua jinsi utakavyo, inafanya mixing and mastering kwa ubora zaid nk. Hasara zake ni original setup yake mfano cubase 5.1 ni kubwa sana 6 GB, inahitaji system specifications kubwa, ni ngumu kutumia kwa mtumiaji wa mara kwanza, inahitaj midi instruments, pia sound card kwa ajili ya high quality sound nk.
Software nyingine ni Reason, Ableton live. Faida zake na hasara ni zile zile kama za cubase hazina tofauti sana.
Logic Pro X hii ni special kwa ajili ya Mac OS haipo kwenye Windows na hii ni moja ya hasara zake. Faida zake ni ina load instruments haraka zaidi kutokana na uwezo mkubwa wa computer aina ya Mac, mixing na mastering zinakuwa na ubora mzuri kutokana na built in plugins zake zenye ubora.
Hizo ni baadhi ya softwares za audio production ambazo unaweza kuchagua ikufaayo na kuanza kujifunza leo.
Nakaribisha michango yenu
Kwa wale ambao wanahitaji T Racks kwa ajili ya kufanyia mixing and mastering katika kazi zao nimeupload kwa ajili yenu so unaweza kudownload kupitia link hiyo hapo chini. Kama kuna matatizo yoyote katika installation process usisite kuuliza
NB::Hii ni cracked version so ni original sio demo.
IK.Multimedia.T-RackS.CS.v4.1.UNLOCKED-R2R