Tujifunze kwa wenzetu - katiba huheshimiwa

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,823
35,829
Mabibi na mabwana hii clip inajieleza wazi:


Wanasema elimu ni bahari na pia elimu haina mwisho.

Katiba ni msingi mkuu wa maisha ambapo yaliyomo ni muhimu yakaridhiwa na wote kupitia sanduku la kura.

Utaratibu wa wengi wape utatuondoa hapa tulipo ambapo chuki imejengeka kutokana na wengine kujisikia kutengwa.

Ikumbukwe kuwa unapokuwa mnufaika na mfumo fyongo ni nadra kwako kuyaona mapungufu.

Walisema mwenye shibe huwa hatambui uwepo wa wenye njaa.

Yote kheri. Mema na hata mabaya, yatufikishe kwenye kuchomoa betri, kukata moto na kuanza upya kwa mustakabala mwema wa nchi hii.

Mungu ibariki Tanzania.

Ninawasilisha.
 
Kudai katiba kufuatwa ni suala la kila mmoja, kiongozi na hasa kila Mwananchi.

Kiongozi yeyote afanyaye lolote kinyume cha katiba hatufai na huyo ni wa kukemewa mara moja.

Kiongozi mwongo kwenye lolote hana sifa za kuwa kiongozi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Dikteta anaona nchi ni mali yake binafsi na siyo ya wananchi

Mkuu yaliyopo kwenye red yanahusika:

IMG_20210314_122020_238.jpg
 
Mabibi na mabwana hii clip inajieleza wazi:


Wanasema elimu ni bahari na pia elimu haina mwisho.

Katiba ni msingi mkuu wa maisha ambapo yaliyomo ni muhimu yakaridhiwa na wote kupitia sanduku la kura.

Utaratibu wa wengi wape utatuondoa hapa tulipo ambapo chuki imejengeka kutokana na wengine kujisikia kutengwa.

Ikumbukwe kuwa unapokuwa mnufaika na mfumo fyongo ni nadra kwako kuyaona mapungufu.

Walisema mwenye shibe huwa hatambui uwepo wa wenye njaa.

Yote kheri. Mema na hata mabaya, yatufikishe kwenye kuchomoa betri, kukata moto na kuanza upya kwa mustakabala mwema wa nchi hii.

Mungu ibariki Tanzania.

Ninawasilisha.
Utoto unakusumbua
 
Kwanza watu wote washitakiwe awe madarakani ama la kama raia wengine

Si mwanzo mbaya.

Katiba mpya yenye kuakisi matakwa ya watu wasioko madarakani inahitajika.

Itakayokuwa wazi kwa mamlaka.

Hii ya mhimili uliojichimbia zaidi ndiyo iliyotufikisha hapa.

Tusirejee tena huku kuliko tuzalishia wakimbizi.
 
Si mwanzo mbaya.

Katiba mpya yenye kuakisi matakwa ya watu wasioko madarakani inahitajika.

Itakayokuwa wazi kwa mamlaka.

Hii ya mhimili uliojichimbia zaidi ndiyo iliyotufikisha hapa.

Tusirejee tena huku kuliko tuzalishia wakimbizi.
Ndiyo wanazidi kujiongezea kinga za kutoshitakiwa sasa
 
Ndiyo wanazidi kujiongezea kinga za kutoshitakiwa sasa

Katiba inastahili kuwamo ambayo sote tunakubaliana kupitia sanduku la kura.

Kinyume chake ni katiba batili yenye kuzaa chuki kwa kiwango tunachokiona.

Hayo si maisha ambayo yeyote angependa kuyaishi.
 
Katiba inastahili kuwamo ambayo sote tunakubaliana kupitia sanduku la kura.

Kinyume chake ni katiba batili yenye kuzaa chuki kwa kiwango tunachokiona.

Hayo si maisha ambayo yeyote angependa kuyaishi.
Dikteta hatukubali kubadili katiba hata siku moja
 
Back
Top Bottom