britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nchi yeyote ile dunian kuna taratibu za kupata viongozi , moja wapo ya nchi hizo ni Tanzania,
Mnajua kwamba kuna zile 39% ambazo hawakumchagua Dr Magufuli kila jambo wanabeza analofanya, nauliza je hakuna zuri lolote kafanya? Mnaona mabaya tu?
Haya basi mazuri yake hayaonekani basi muheshimuni kama amiri jeshi mkuu wa nchi yetu,
Lakin imekuwa kinyume maana kila analofanya mnasema mnakosoa na matusi juu
Majina kama Kichaa, Sizonje, Pogba so vema kumuita rais ambaye umepamba picha yake kwenye ofisi yako kwa mujibu wa sheria,
Tunajua tabia nzuri hutokana na malezi bora ambayo ama taasisi au wazazi wamemkuza kijana wao ila kwa bahati isiyo nzuri sana CHADEMA na BAVICHA yake wanashindwa kuwalea watoto au vijana kama misingi ya umoja upendo na amani dhidi ya maasimu wao,
Ukipitia kurasa au mitandao na majarida mbali mbali , wanotukana na kutoa matusi so mtihani mkubwa kujua wanatoka upande gani maana hata uniform zinakuwa wazi,
Hili ni tatizo ambalo tunalilea na kushindwa kulithibiti kadri muda unavyosogea,
CHADEMA ya wakubwa tumeona kina Sugu , Halima mdee na Lema wakitoa matusi hadharani mpaka unashangaa hawa ni viongozi au ?
Je kama wakubwa wanafanya hivo wadogo wataiga wapi mfano wa siasa bora safi zenye ushindani wa hoja??
Nashukuru sana Chama cha Mapinduzi kupata watu hawa wawili
Humphrey Pole Pole na Dr Bashiru Ally, naona mwelekeo wa CCM utakuwa mzuri kama utendaji wao hautakwamishwa,
Kilichobaki ni kufanya siasa safi siyo za matusi na kutoleana maneno machafu,
Mungu Ibariki CCM chama tawala
Mungu ibariki CHADEMA vijana kikuu cha upinzani
Mungu Ibariki Tanzania na watanzania wote
Mnajua kwamba kuna zile 39% ambazo hawakumchagua Dr Magufuli kila jambo wanabeza analofanya, nauliza je hakuna zuri lolote kafanya? Mnaona mabaya tu?
Haya basi mazuri yake hayaonekani basi muheshimuni kama amiri jeshi mkuu wa nchi yetu,
Lakin imekuwa kinyume maana kila analofanya mnasema mnakosoa na matusi juu
Majina kama Kichaa, Sizonje, Pogba so vema kumuita rais ambaye umepamba picha yake kwenye ofisi yako kwa mujibu wa sheria,
Tunajua tabia nzuri hutokana na malezi bora ambayo ama taasisi au wazazi wamemkuza kijana wao ila kwa bahati isiyo nzuri sana CHADEMA na BAVICHA yake wanashindwa kuwalea watoto au vijana kama misingi ya umoja upendo na amani dhidi ya maasimu wao,
Ukipitia kurasa au mitandao na majarida mbali mbali , wanotukana na kutoa matusi so mtihani mkubwa kujua wanatoka upande gani maana hata uniform zinakuwa wazi,
Hili ni tatizo ambalo tunalilea na kushindwa kulithibiti kadri muda unavyosogea,
CHADEMA ya wakubwa tumeona kina Sugu , Halima mdee na Lema wakitoa matusi hadharani mpaka unashangaa hawa ni viongozi au ?
Je kama wakubwa wanafanya hivo wadogo wataiga wapi mfano wa siasa bora safi zenye ushindani wa hoja??
Nashukuru sana Chama cha Mapinduzi kupata watu hawa wawili
Humphrey Pole Pole na Dr Bashiru Ally, naona mwelekeo wa CCM utakuwa mzuri kama utendaji wao hautakwamishwa,
Kilichobaki ni kufanya siasa safi siyo za matusi na kutoleana maneno machafu,
Mungu Ibariki CCM chama tawala
Mungu ibariki CHADEMA vijana kikuu cha upinzani
Mungu Ibariki Tanzania na watanzania wote