Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Kiswahili kina utajiri wa maneno yanayo weza kuleta radha katika mazungumzo kuliko lugha nyingi.
Zamani ulikua huwezi sikia mtu anasema naenda chooni kwa sababu neno choo lina tafsiri ya kuhudisha kitu ambacho si safi.
Wazee wetu ulikua unawasikia naenda uani, au nafanya usafi maliwatoni etc.
Leo unasikia nipo chooni nafanya usafi hadi anayesikia anajisikia hali fulani ambayo siyo.
Maneno mengine yapo lakini yana maeneo yake ya kutumika
Nwaswahili turudi darasani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani ulikua huwezi sikia mtu anasema naenda chooni kwa sababu neno choo lina tafsiri ya kuhudisha kitu ambacho si safi.
Wazee wetu ulikua unawasikia naenda uani, au nafanya usafi maliwatoni etc.
Leo unasikia nipo chooni nafanya usafi hadi anayesikia anajisikia hali fulani ambayo siyo.
Maneno mengine yapo lakini yana maeneo yake ya kutumika
Nwaswahili turudi darasani.
Sent using Jamii Forums mobile app