Tujifunze kutoka Sierra Leone: Rais Bio wa Sierra Leone akataa msaada wa $400m (Tsh.1t) kutoka China.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Rais wa Sierra Leone Julius Maada Bio amekataa mkopo wa $400m karibu sawa na Tshilingi trillion 1 (TZS 1t) kutoka China wa kujengewa uwanja mpya wa ndege uliopewa jina la Mamamah International Airport.

Bio imemwambia rais Xi wa China "Thanks but no thanks". Amesema kuwa uwanja uliopo unatosha na unakidhi mahitaji ya nchi, "there's no need for a new airport, the project is 'uneconomical' given its only existing international airport is “grossly under-utilized”.

Sinabudi kuipongeza serikali ya Sierra Leone na rais Bio kwa maamuzi ya kuigwa ukizingatia Sierra Leone ni moja ya nchi masikini duniani iliyo kundi moja sawa na Tanzania.

Maamuzi ya rais Bio yanapaswa kuigwa na viongozi wote wa bara la Afrika kwa viongozi kutopokea mikopo na misaada isiyo na faida kwa wananchi wao, si tu kutoka China bali kutoka kwa mataifa yote yenye mikopo ya masharti ya kuweka "collateral" maliasili za taifa na huduma za jamii, tayari China imeonyesha mfano mbaya wa mikopo yake, China inaushikilia uwanja wa ndege wa Kaunda Zambia.
 
Tujifunze nini hapo? Usichokifahamu sasa hivi kuna vita baridi kati ya Wachina na Wazungu kugombania negros Afrika, hivyo hao negros wa Sierra wameambiwa na slave master wao Muzungu wasichukuwe msaada ktk China.

Labda ungeuliza swali je wamekataa na hela ya Muzunguya IMF, World bank, internstional developments programms za Muzungu?
 
Ni vizuri viongozi wa kiafrika waanze kujitambua kwa maslahi ya nchi na wananchi. Ukicheka na nyani utavuna mabua
 
Tujifunze nini hapo? Usichokifahamu sasa hivi kuna vita baridi kati ya Wachina na Wazungu kugombania niggers Afrika, hibyo hao niggers wa Sierra wameambiwa na slave master wao Muzungu wasichukuwe msaada ktk China.

Labda ungeuliza swali je wamekataa na hela ya Muzunguya IMF, World bank, internstional developments programms za Muzungu?
Mikopo ya WB na IMF huwa haina masharti ya kuweka collateral kama mikopo ya wachina.
 
Tujifunze nini hapo? Usichokifahamu sasa hivi kuna vita baridi kati ya Wachina na Wazungu kugombania negros Afrika, hivyo hao negros wa Sierra wameambiwa na slave master wao Muzungu wasichukuwe msaada ktk China.

Labda ungeuliza swali je wamekataa na hela ya Muzunguya IMF, World bank, internstional developments programms za Muzungu?
Unataka kusemaje labda?
 
Mpenda vya bure mala nyingi huliwa bure bure kabisaa

unnamed.gif
 
Utoto huu, Magu alikataa mkopo wa zaidi ya 7 billioni USD za kujenga reli kutoka kwa Mchina sababu kuu tender alizopewa China zilikuwa na gharama za juu zisizo na uhalisia.
Magu amekataa mkopo wa 10billioni USD wa ujenzi Bagamoyo port kutoka kwa mchina na Oman, sasa unatuletea ujinga wa 400ml USD hapa tufanye nini?
Ukiona hivyo jua 10% iligoma.
 
Utoto huu, Magu alikataa mkopo wa zaidi ya 7 billioni USD za kujenga reli kutoka kwa Mchina sababu kuu tender alizopewa China zilikuwa na gharama za juu zisizo na uhalisia.
Magu amekataa mkopo wa 10billioni USD wa ujenzi Bagamoyo port kutoka kwa mchina na Oman, sasa unatuletea ujinga wa 400ml USD hapa tufanye nini?
Hii Mikopo angekuwa Mkwere angesaini hata Bila kusoma mkataba.By the way Bandari ya Bagamoyo imeishia wapi?
 
Utoto huu, Magu alikataa mkopo wa zaidi ya 7 billioni USD za kujenga reli kutoka kwa Mchina sababu kuu tender alizopewa China zilikuwa na gharama za juu zisizo na uhalisia.
Magu amekataa mkopo wa 10billioni USD wa ujenzi Bagamoyo port kutoka kwa mchina na Oman, sasa unatuletea ujinga wa 400ml USD hapa tufanye nini?

Fakeni!!Eti 10B USD unaakili wewe?
 
Hii Mikopo angekuwa Mkwere angesaini hata Bila kusoma mkataba.By the way Bandari ya Bagamoyo imeishia wapi?

Sio angesaini, Kikwete alikuwa ameshasaini kila kitu, angeongezewa mwaka mmoja zaidi hii mradi ingeanza kwa gharama za juu kabisa na mikopo isiyolipika. Ndio maana nyumbxxx wakianza kumsifia JK unawaangalia tu na kuona hapa hakuna chama cha upinzani ila genge la wahuni tu wanaoita Ikulu.
 
Back
Top Bottom